Jun 28, 2016 08:51 UTC
  • Kisomo cha Qur'ani, Mash'had, Iran

"Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur'ani kuwa ni uwongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi." Kisomo cha Qur'ani tukufu katika Haram ya Imam Ridha AS, mjini Mash'had Iran. Kila siku inahitimishwa juzuu moja ya Qur'ani.

Tags