-
Majibu makali ya mwandishi Msaudia kwa waziri wa Israel: Ngamia wetu wana asili, nyinyi hamnayo
Oct 28, 2025 14:26Mwandishi wa Saudi Arabia na mchambuzi wa masuala ya kisiasa amejibu matamshi ya dharau yaliyotolewa na Waziri wa Fedha wa Israel Bezalel Smotrich akisema, "Ngamia wetu wana asili, lakini nyingi hamna asili."
-
UNRWA: Msimamo wa Marekani hautatuzuia kufanya kazi yetu huko Gaza
Oct 28, 2025 14:25Adnan Abu Hasna, mshauri wa vyombo vya habari wa Shirika la Misaada na Kazi la Umoja wa Mataifa kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA), amesema kwamba taarifa za hivi karibuni za Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, ambapo alidai shirika hilo la kimataifa halitakuwa na nafasi yoyote katika Ukanda wa Gaza, si jambo jipya na ni katika fremu ya misimamo ya Marekani kuhusu taasisi hiyo ya Umoja wa Mataifa.
-
Senegal yachunguza mauaji ya kikoloni ya Ufaransa baada ya uchimbaji mpya, Thiaroye
Oct 28, 2025 14:25Wanaakiolojia nchini Senegal wamegundua ushahidi mpya wa mauaji ya kikoloni ya Ufaransa yaliyotokea mwaka 1944, kama sehemu ya juhudi zinazoongozwa na serikali za kufichua ukweli kuhusu mauaji yaliyofanywa na vikosi vya jeshi la Ufaransa baada ya Vita vya Pili vya Dunia dhidi ya ya wanajeshi wa Afrika Magharibi.
-
Mshauri wa kijeshi wa Ayatullah Khamenei: Iran iko tayari kwa 'vita vya korido' ili kuongeza ushawishi wa kimkakati
Oct 28, 2025 08:53Mshauri mkuu wa kijeshi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametaja "vita vya korido" vinavyoibuka kuwa ni uwanja muhimu katika uhusiano wa kimataifa, na uwanja mpya wa ushawishi wa kimkakati wa Iran.
-
Mgogoro wa El Fasher: Maelfu wakadiriwa kuuawa, Umoja wa Afrika walaani "ukatili"
Oct 28, 2025 08:52Waziri wa Afya katika jimbo la Darfur, Babiker Hamdeen amesema kwamba maelfu ya raia wameuawa katika mji wa El Fasher katika siku mbili zilizopita, huku Umoja wa Afrika ukilaani "ukatili" na "madai ya kufanyika uhalifu wa kivita" huko El Fasher, magharibi mwa Sudan.
-
Maandamano ya Tunisia na Morocco; dhihirisho la kuunga mkono Wapalestina barani Afrika
Oct 28, 2025 08:15Wimbi jipya la uungaji mkono kwa Wapalestina barani Afrika limekwenda sambamba na kulaani vitendo vya kijinai vya utawala haramu wa Israel.
-
Ajali ya ndege yaua 12 Kenya wakiwemo watalii wa kigeni
Oct 28, 2025 08:02Watu 12, wakiwemo watalii, wanahofiwa kufariki dunia katika ajali ya ndege iliyotokea katika eneo la Vyungwani, Matuga, Kaunti ya Kwale, mapema leo Jumanne.
-
Pezeshkian atoa wito wa kubuniwa mfumo wa usalama' wenye msikamano ndani ya kambi ya ECO
Oct 28, 2025 07:25Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametoa wito kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya ECO kuanzisha na kutekeleza mfumo thabiti wa usalama, unaounda utulivu, wa ndani, na unaozingatia maendeleo.
-
Watu wenye hasira waendelea kuandamana Cameroon kupinga ushindi wa Paul Biya
Oct 28, 2025 05:42Maeneo mbalimbali ya Cameroon yameendelea kushuhhudia maandamano ya watu wenye hasira wanaopinga matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi rais kizee zaidi duniani yaani Paul Biya mwenye umri wa miaka 92.
-
OHCHR: Waasi wa RSF wamefanya ukatili wa kutisha nchini Sudan
Oct 28, 2025 04:26Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa OHCHR imesema imepokea taarifa za kutisha kuwa waasi wa RSF wanafanya ukatili wa kutisha nchini Sudan.