-
Kamanda wa Iran: Miundomsingi ya makombora haikupata 'hata mkwaruzo' wakati wa Vita vya Siku 12
Oct 20, 2025 23:53Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema, miundomsingi ya makombora na ulinzi imebaki imara kama ilivyokuwa kabla ya Vita vya Siku 12 na kubainisha kwa kusema: "mkwaruzo wenye ukubwa hata wa ubawa wa nzi" haukufanywa kwenye makombora ya Iran.
-
HAMAS yaimarisha nguvu na udhibiti wake Ghaza
Oct 20, 2025 23:52Vyombo vya usalama vya Israel vimetangaza kuwa Hamas imekuwa ikiimarisha udhibiti wake katika Ukanda wa Ghaza tangu dakika za mwanzo za kusitishwa mapigano na inaendelea kurejesha utulivu na usalama katika maeneo mbalimbali ya ukanda huo, licha ya uharibifu na jinai kubwa za miaka miwili zilizofanywa na utawala wa Kizayuni kwenye eneo hilo.
-
Mufti wa Oman aunga mkono utayarifu wa Wayemen kukabiliana na Israel
Oct 20, 2025 23:30Mufti wa Oman ametangaza himaya na uungaji mkono wake kikamilifu utayarifu wa Wayemen kukabiliana na utawala haramu wa Israel.
-
Ripoti: Mashambulizi ya wanamgambo yameshadidi eneo la Sahel Afrika
Oct 20, 2025 23:28Mashambulizi ya wanamgambo wenye silaha yanaripotiwa kushadidi katika eneo la Sahel Afrika.
-
Amnesty International: Serikali ya Tanzania imezidisha ukandamizaji kabla ya uchaguzi mkuu
Oct 20, 2025 23:28Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limesema kuwa, serikali ya Tanzania imezidisha ukandamizaji kwa wakosoaji wake wa kisiasa, waandishi wa habari, asasi za kiraia, na watetezi wa haki za binadamu katika juhudi za kudumisha madaraka na kuzuia ushiriki wa raia.
-
Kusimama shughuli za serikali ya Marekani kutakwenda hadi lini?
Oct 20, 2025 22:52Serikali ya Donald Trump huko Marekani imevunja rekodi kwa kusimamisha shughuli zake kwa muda wa siku 20. Janga hilo lilianza Oktoba 1, 2025, na kulemaza shughuli muhimu za Marekani na pia kupiga kengele ya hatari ya kuzuka mdororo wa kiuchumi na mgogoro wa kijamii nchini Marekani. Hadi hivi sasa hakuna ishara za kufikia mwisho mgogoro huo wa kisiasa huku mamilioni ya Wamarekani wakiwa chini ya mashinikizo kutokana na maafa ya mgogoro huo kwenye maisha yao.
-
Afrika katika makucha ya ukoloni mamboleo, ushindani wa kimataifa kwa ajili ya rasilimali muhimu na vitisho vipya
Oct 20, 2025 12:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, amekutana na mwenzake wa Liberia, Sara Beysolow Nyanti kujadili njia za kupanua ushiriki wa Marekani katika sekta muhimu ya madini nchini Liberia.
-
Imamu Khamenei amwambia Trump: Badala ya kuingilia mambo ya nchi zingine, tuliza maandamano ya mamilioni ya wananchi dhidi yako
Oct 20, 2025 09:34Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali matamshi ya hivi karibuni ya Rais Donald wa Marekani kuhusu Iran na eneo la Asia ya Magharibi na na kusema, Trump alisafiri hadi Palestina iliyokaliwa kwa mabavu na kutoa maneno matupu yenye kejeli ili kuwatia moyo Wazayuni waliokata tamaa.
-
Kushner: Hamas 'inatekeleza kwa nia njema' makubaliano ya usitishaji vita Ghaza
Oct 20, 2025 07:15Mkwe wa Rais Donald Trump wa Marekani, Jared Kushner, ambaye ni mmoja wa wapatanishi wake wakuu katika mpango wa kusitisha mapigano Ghaza, amesema harakati ya Palestina ya Hamas imekuwa "ikitekeleza kwa nia njema" makubaliano hayo, akiashiria taarifa zilizopokelewa kutoka kwa wapatanishi wa kikanda waliohusika katika mazungumzo ya usitishaji huo wa vita.
-
Italia yaokoa wahajiri 91, yaopoa maiti 2 kwenye pwani ya Lampedusa katika Bahari ya Mediterania
Oct 20, 2025 06:47Walinzi wa Pwani ya Italia wamewaokoa wahajiri 91 na kuopoa miili ya watu wengine wawili kutoka kwenye mashua iliyokuwa hatarini kupeperushwa kwenye pwani ya Kisiwa cha Lampedusa katika Bahari ya Mediterania.