-
Waziri wa Vita wa Israel: Tutaharibu mahandaki ya HAMAS baada ya kubadilishana mateka
Oct 12, 2025 22:57Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametangaza kuwa utawala huo dhalimu una mipango ya kuharibu mahandaki na njia za chini ya ardhi za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas huko Ghaza baada ya kuachiliwa huru mateka wa Kizayuni.
-
Je, ni upi msimamo wa Umoja wa Ulaya kuhusu mpango wa Trump na usitishaji vita huko Gaza?
Oct 12, 2025 22:53Umoja wa Ulaya umeeleza kuwa usitishaji vita huko Gaza ni fursa ya kweli ya kuhitimisha vita vya uharibifu.
-
Mkutano wa 8 wa Kimataifa wa Mshikamano na Watoto wa Palestina umefanyika Tehran
Oct 12, 2025 08:59Mkutano wa 8 wa Kimataifa wa Mshikamano na Watoto na mabarobaro wa Kipalestina, umefanyika leo Jumapili kwenye Ukumbi wa Mikutano ya Kiislamu mjini Tehran, kwa kuhudhuriwa na maafisa wa ndani, wageni kutoka nchi za nje na wanaharakati wa Kipalestina.
-
Spika Qalibaf: Serikali na mahakama za kimataifa zifuatilie kesi ya wahusika wa mauaji ya kimbari Gaza
Oct 12, 2025 08:40Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) sambamba na kueleza kuwa usitishaji vita wa Gaza ni kushindwa kwa mipango michafu ya Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni amesema: "Serikali na mahakama za kimataifa zinapaswa kufuatilia kesi ya wahusika wa mauaji ya kimbari huko Gaza."
-
Utawala wa kizayuni wa Israel wafukuzwa katika mashindano ya Dunia ya Jimnastiki
Oct 12, 2025 08:39Ushiriki wa timu ya taifa ya utawala wa kizayuni wa Israel umefutwa katika mashindano ya Dunia ya Jimnastiki ya Jakarta Indonesia kulalamikia jinai za utawala huo ghasibu dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Rais wa Madagascar akanusha taarifa kuwa ametoroka nchi
Oct 12, 2025 07:34Rais Andry Rajoelina wa Madagascar amewahakikishia wananchi kwamba yeye na Waziri Mkuu wanadhibiti hali nchini humo.
-
Pakistan yaapa kulipiza kisasi dhidi ya Afghanistan
Oct 12, 2025 07:26Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif amelaani kitendo alichokiita ni cha uchokozi kutoka kwa nchi jirani ya Afghanistan.
-
Iran mstari wa mbele katika kulinda mazingira ya Bahari ya Kaspi
Oct 12, 2025 07:09Jamhuri ya Kiislamu ya Iran siku zote imekuwa na nafasi athirifu na chanya katika kulinda mazingira ya Bahari ya Kaspi na aina mbalimbali za wanyama, ikiwa ni pamoja na Caspian Seal; mamalia adimu zaidi duniani na viumbe wengine wa baharini.
-
Iran yalaani vikali shambulio la Israel kusini mwa Lebanon lililoua watu na kusababisha hasara kubwa
Oct 12, 2025 02:55Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali mashambulio ya kijeshi yanayofanywa kila mara na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon na kuendelea kukiuka mamlaka ya utawala na umoja wa ardhi ya nchi hiyo hususan shambulio la jana Jumamosi la ndege zisizo na rubani lililolenga kijiji cha Al-Musayleh.
-
HAMAS: Tony Blair hakaribishwi kuwa na nafasi yoyote katika uongozi wa Ghaza baada ya vita
Oct 12, 2025 02:14Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imeonya kwamba Tony Blair hatakaribishwa kuwa na nafasi yoyote ya uendeshaji wa Ghaza kufuatia kuanza kutekelezwa usitishaji vita katika eneo hilo la Palestina.