-
George Galloway: Minab ndio mauaji makubwa zaidi ya wanafunzi wasichana katika historia
Mar 03, 2026 09:11George Galloway, mbunge wa zamani wa Uingereza amesema mauaji ya halaiki yaliyofanywa na Marekani dhidi ya wasichana 167 waliokuwa na umri wa kati ya miaka 7 na 12 wakiwa madarasani katika Shule ya Msingi ya Minab nchini Iran ndio maafa makubwa zaidi yaliyowahi kufanywa na Marekani tangu wakati wa Vita vya Vietnam.
-
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi: Tumeanza wimbi la 15 la Opesheni Ahadi ya Kweli-4 dhidi ya kambi za Marekani
Mar 03, 2026 07:23Wimbi la 15 la Operesheni Ahadi ya Kweli-4 limeanza kwa jina la msimbo la Yaa Zahra (AS) kwa mashambulizi mseto ya makombora, ndege za kivita zisizo na rubani na operesheni maalumu ya kikosi cha wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu dhidi ya kambi za jeshi la Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia.
-
Araqchi: Iran haina uadui na nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi
Mar 03, 2026 07:21Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema jibu la Iran la kushambulia kambi za kijeshi za Marekani katika baadhi ya nchi za Ghuba ya Uajemi halina maana kwamba Iran inashambulia nchi hizo.
-
Wapinzani wa vita waandamana New York kupinga vita vya Trump dhidi ya Iran
Mar 03, 2026 07:18Mamia ya wanaharakati wanaopinga vita wamefanya maandamano makubwa huko Manhattan mjini New York wakilaani mashambulizi ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Wabunge wa Marekani: Netanyahu amemtwisha Trump mpango wake dhidi ya Iran
Mar 03, 2026 05:46Mtandao wa The Hill umewanukuu wabunge waandamizi wa vyama vyote viwili vikubwa vya Marekani, Democtatic na Republican, wakisema kuwa uamuzi wa Donald Trump wa kuanzisha vita dhidi ya Iran umechukuliwa kutokana na imla ya mpango wa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu.
-
Makuhani wa Israel waungana na Iran, walaani mashambulizi ya Marekani na Israel
Mar 03, 2026 04:00Makuhani wa Kiyahudi wanaopinga utawala ghasibu wa Israel wamelaani vita na mashambulizi yanayoendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel na Marekani dhidi ya Iran.
-
Makamanda wa ngazi za juu wa Iran wameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Israel, Marekani
Mar 01, 2026 04:18Kundi la makamanda wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran kutoa jibu kali kwa wauaji wa wanafunzi 150
Mar 01, 2026 03:58Viongozi wa Iran wamelaani vikali shambulio la anga la utawala katili wa Israel dhidi ya shule ya msingi ya wasichana katika mji wa Minab, ulioko katika mkoa wa Hormozgan, kusini mwa Iran, lililopelekea kuuawa shahidi wanafunzi zaidi ya 150.
-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Marekani na Israel
Mar 01, 2026 03:15Inna Lillahi wa Inna Ilayhi Raji’un. Kufuatia shambulio la kikatili na la kigaidi la utawala wa Kizayuni na Marekani, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameuawa shahidi.
-
Spika wa Iran: Israel, US zimekanyaga mstari wetu mwekundu
Mar 01, 2026 03:07Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Bagher Ghalibaf amesema Rais wa Marekani, Donald Trump na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu wamevuka mstari mwekundu wa Jamhuri ya Kiislamu, na watalipa gharama kubwa kwa jinai hiyo.