-
Waziri Mkuu wa Senegal aliyefutwa kazi achaguliwa kuwa Spika wa Bunge
May 27, 2026 03:03Waziri Mkuu wa zamani wa Senegal Ousmane Sonko jana alichaguliwa kuwa Spika wa Bunge la nchi hiyo akimrithi El Malick Ndiaye, aliyejiuzulu siku ya Jumapili.
-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu- Siku ya Arafa
May 26, 2026 13:32Katika ujumbe wake kwa mnasaba wa kuwadia msimu wa Hijja ya Nabii Ibrahim (as), Ayatullah Seyyed Mojtaba Hosseini Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ametaja amali na thikri zilizajaa maana za Hijja na kusema ni ishara za kudumu milele kwa wanadamu kwa ajili ya kuwahamasisha waelekee kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu, na kuwa huru kutokana na minyororo ya Shetani na wafuasi wake, na wakati huo huo kufanya bidii bila kuchoka kwa ajili ya kuondokana na matamanio ya nafsi, na kufikia sa
-
Ujumbe wa Hija: Kiongozi Muadhamu ayatolea wito mataifa ya Kiislamu kuunda utaratibu mpya wa kikanda; asema enzi ya US imefikia tamati
May 26, 2026 11:24Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amezitolea wito nchi za Kiislamu kuzidisha ushirikiano na kuanzisha utaratibu mpya wa kieneo na kimataifa mbali na utawala wa Marekani.
-
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa: Iran haitasalimu amri wala kurudi nyuma
May 26, 2026 11:17Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Taifa la Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu "haitarudi nyuma" huku kukiwa na ripoti juu ya uwezekano wa kufikiwa makubaliano kati ya Tehran na Washington.
-
Baqaei: Marekani imefanya uhalifu wa kivita kwa kujaribu nguvu ya kombora lilitumika kwa mara ya kwanza kuua watu Lamerd, Iran
May 26, 2026 11:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Marekani ilitumia kwa mara ya kwanza kombora la PrMS katika shambulio lake kwenye eneo la makazi ya raia na uwanja wa michezo wa Lamerd katika Mkoa wa Fars kusini mwa Iran, kwa lengo la kujaribu nguvu za uharibifu za silaha hiyo."
-
Mkurugenzi Mkuu wa WHO: Vifo vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola vyafika 220
May 26, 2026 11:11Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameeleza kuwa vifo 220 vinashukiwa kusababishwa na mlipuko wa sasa wa homa hatari ya Ebola.
-
Mgogoro wa kisiasa washtadi Senegal baada ya Rais kumteua Al Aminou Lo kuwa Waziri Mkuu
May 26, 2026 11:06Mgogoro wa kisiasa wa Senegal umeshika kasi huku Rais wa nchi hiyo Bassirou Diomaye Faye akimteua mchumi Ahmadou Al Aminou Lo katika nafasi ya Waziri Mkuu akichukua nafasi ya Ousmane Sonko aliyefutwa kazi.
-
Mahujaji wanasimama Arafa leo kutekeleza nguzo muhimu ya Hija
May 26, 2026 03:17Mamilioni ya Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, Al Kaaba, leo wanasimama katika uwanja wa Arafa katika kilele cha ibada tukufu ya Hija.
-
Papa Leo aomba radhi kutokana na nafasi ya Kanisa Katoliki katika biashara ya utumwa ya kuvuka Bahari ya Atlantiki
May 26, 2026 03:04Katika hatua ya kihistoria, Papa Leo wa XIV Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ameomba radhi kutokana nafasi ya Baraza Kuu la Uongozi wa Kanisa Katoliki na Vatican la kuhalalisha utumwa na kushindwa kulaani suala hilo kwa karne kadhaa.
-
Baqaei: Marekani inapasa kudhamini ushiriki wa timu ya taifa ya Iran katika mashindano ya Kombe la Dunia
May 26, 2026 02:55Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amezungumzia uvumi unaoendelea kuhusu kushiriki wa timu ya taifa ya kandanda ya Iran katika Kombe la Dunia la FIFA la 2026, na kusisitiza kuwa Marekani inawajibika kuandaa mazingira yanayofaa kwa timu hiyo kushiriki katika mashindano bila vizuizi vyovyote.