-
John Mearsheimer: Hakuna nguvu duniani yenye uwezo wa kuishinda Iran
May 26, 2026 02:53Profesa wa sayansi ya siasa na mtaalamu wa nadharia ya mahusiano ya kimataifa amesema kuwa: Wakati Marekani na Israel zimeshindwa kuishinda Iran kwa kutumia nguvu zao zote, katika kipindi cha siku 40 za mashambulizi ya anga, hakuna nguvu nyingine duniani yenye uwezo wa kufanya hivyo.
-
Rais wa China aunga mkono diplomasia ya amani kati ya Iran na Marekani
May 26, 2026 02:50Katika kikao chake na Waziri Mkuu na Mkuu wa Majeshi wa Pakistan, Rais wa China amesisitiza uungaji mkono wa Beijing kwa upatanishi wa Islamabad na diplomasia inayoendelea katika eneo la Magharibi mwa Asia kwa ajili ya amani, akitolea mfano ziara ya hivi karibuni ya Asim Munir, Mkuu wa Majeshi wa Pakistan jijini Tehran.
-
Nabih Berri: Kwa pamoja tutaikomboa na kuijenga upya Lebanon
May 25, 2026 14:22Katika siku ya kumbukumbu ya kukombolewa Lebanon kutoka kwenye makucha ya utawala ghasibu wa Israel, Nabih Berri, Spika wa Bunge la nchi hiyo amesema kuwa, adui Mzayuni hatasita hata kidogo kulipiza kisasi dhidi ya Lebanon na kuongeza kwamba kwa pamoja watu wa nchi hiyo wana uwezo wa kuikomboa na kuijenga upya.
-
Pezeshkian: Iran haitasalimu amri kwa matakwa 'ya kupitiliza' ya Marekani, inataka kurejeshea haki zake kikamilifu
May 25, 2026 12:28Rais Masoud Pezeshkian ametangaza kwamba Iran haitasalimu amri kwa mashinikizo ya Marekani na matwaka ya kuchupa mipaka ya utawala huo, akisema wapatanishi wa Iran watahakikisha haki za taifa zinarejeshwa kikamilifu kupitia mchakato wa kidiplomasia.
-
Malaysia: Tutaipeleka Israel ICJ kwa kuteka nyara na kuwatesa wanaharakati wa Freedom Flotilla
May 25, 2026 12:21Serikali ya Malaysia iko tayari kuipeleka Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kwa kosa la kuteka nyara na kuwatesa wanaharakati wa msafara meli za misaada ya kibinadamu wa Global Sumud Flotilla, uliokuwa njiani kuelekea Ukanda wa Gaza huko Palestina.
-
Muqawama wa Palestina utaikomboa al-Qud: Jenerali Qa’ani
May 25, 2026 12:19Kamanda mkuu wa Kikosi cha Quds cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Muqawama wa Palestina utafungua njia ya ukombozi wa al-Quds, ukiashiria ushindi wa harakati za Muqawama nchini Iran na Lebanon.
-
Afisa wa zamani wa Kizayuni: Hatimaye tutatoroka Lebanon kwa madhila
May 25, 2026 12:02Mkuu wa zamani wa Kamati ya Usalama na Mahusiano ya Kigeni katika Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel amesema kwamba utawala huo hatimaye utatoroka Lebanon kwa madhila na kushindwa.
-
Kiongozi wa machafuko yaliyofadhiliwa na Marekani mwezi Januari auawa nchini Iran
May 25, 2026 10:18Mahakama ya Iran imetangaza kwamba mmoja wa viongozi wa makundi yenye silaha yaliyohusika na ghasia zilizofadhiliwa na madola ya kigeni mnamo Januari 2026 amenyongwa katika mji wa Nain.
-
Pezeshkian: Iran iko tayari kuihakikishia dunia kwamba haifuatilii silaha za nyuklia
May 25, 2026 09:19Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuihakikishia jamii ya kimataifa kwamba haifuatilii silaha za nyuklia.
-
Rezaei: Iran itajiondoa katika mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia iwapo itashambuliwa tena
May 25, 2026 09:18Iran imetoa onyo kali kwa Marekani, ikisema kuwa itajiondoa kwenye Mkataba wa Kuzuia Usambazaji wa Silaha za Nyuklia (NPT), ikiwa Marekani itaanzisha tena mashambulizi dhidi ya yake.