-
Rais wa Nigeria Tinubu kugombea tena kiti cha urais baada ya kuteuliwa na chama
May 25, 2026 09:14Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, atagombea tena katika uchaguzi mkuu mwezi Januari mwakani baada ya kushinda uteuzi wa chama chake katika kura za mchujo za All Progressives Congress.
-
El Baradei: Mwendawazimu Trump anatafuta njia ya kujiondoa kwenye vita dhidi ya Iran
May 25, 2026 09:13Mkuu wa zamani wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ametangaza kuwa mtu mmoja mwendawazimu alianzisha vita dhidi ya Iran na sasa anatafuta njia ya kujiondoa vitani.
-
Makumi wauawa katika shambulio la bomu lililolenga kituo cha treni Pakistani
May 24, 2026 13:11Shambulio la kigaidi katika kituo cha treni katika mji mkuu wa jimbo la Balochistan nchini Pakistani limesababisha vifo vya watu 24 na kujeruhiwa wengine wengi.
-
Rais Pezeshkian: Iran inapigania haki zake halali katika mazungumzo na Marekani
May 24, 2026 12:50Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa Iran inataka kurejesha haki zake halali katika mazungumzo na Marekani. Hata hivyo, ameeleza kuwa uzoefu mchungu wa majadiliano ya huko nyuma na Washington unaifanya Tehran kusonga mbele kwa tahadhari kubwa.
-
Israel yawazuia tena Wapalestina wa Gaza kutekeleza ibada ya Hija
May 24, 2026 12:43Watetezi wa haki za binadamu na maafisa wa Palestina wamelaani hatua wanayoieleza kuwa ni kukiuka kwa mfumo uhuru wa ibada, baada ya utawala haramu wa Israel kwa mara nyingine kuzuia maelfu ya Wapalestina wa Gaza kusafiri kwenda Saudi Arabia kwa ajili ya Hija ya kila mwaka.
-
Iran yaonya: Tuko tayari kutoa jibu “la maangamizi” dhidi ya uchokozi mpya
May 24, 2026 12:40Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yako katika kiwango cha juu kabisa cha utayari na yataitoa “adhabu yenye maangamizi na ya kuzimu” iwapo adui ataanzisha tena vita au shambulio lolote la kichokozi dhidi ya nchi.
-
Mkuu wa WHO ataka hatua za haraka dhidi ya Ebola
May 24, 2026 12:37Mwishoni mwa Mkutano wa 79 wa Baraza la Afya Duniani, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Matiafa la Afya Duniani (WHO) amezitaka nchi wanachama kuimarisha ushirikiano wa kimataifa dhidi ya milipuko ya magonjwa hatari, akionya kuhusu tishio linaloongezeka la Ebola, virusi vya Hanta na majanga ya magonjwa yajayo.
-
Sababu za kuongezeka mgawanyiko barani Ulaya kuhusu utawala wa Kizayuni
May 24, 2026 06:54Mbali na maoni ya wananchi, baadhi ya wabunge wa Bunge la Ulaya pia wameutaka Umoja wa Ulaya uchukue hatua kali dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na viongozi wake.
-
Qalibaf: Iran haina imani na Marekani, haitasalimu amri kuhusu haki zake
May 24, 2026 03:30Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa Iran haina imani yoyote na Marekani na kwamba haitarudi nyuma kamwe katika kutetea haki zake za kitaifa wakati wa mazungumzo na Marekani yanayolenga kuhitimisha vita katika eneo lote la Asia Magharibi.
-
Jeshi la Iran lasema meli 25 zimepita katika Lango la Hormuz
May 24, 2026 03:28Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetangaza kuwa meli 25, zikiwemo meli za mafuta, meli za mizigo (kontena), na meli zingine kibiashara, zimevuka Lango la Bahari la Hormuz katika kipindi cha saa 24 zilizopita hadi kufikia jana, baada ya kupata idhini na chini ya uratibu wa kiusalama wa jeshi hilo.