-
Ripoti ya haki za kisheria yafichua “ukandamizaji dhidi ya Wapalestina” nchini Uingereza
Feb 26, 2026 00:19Shirika moja la haki za kisheria limebaini kile lilichokitaja kuwa “juhudi za kimfumo” za kukandamiza harakati za mshikamano na Palestina nchini Uingereza, likirekodi karibu matukio 1,000 katika kipindi cha miaka sita iliyopita yanayoonesha mfumo uliokita wa “ukandamizaji dhidi ya Wapalestina.”
-
Tanzania yatoa tahadhari ya kuongezeka maambukizi ya mafua, Covid 19 na Dengue
Feb 26, 2026 00:14Wizara ya Afya ya Tanzania imetoa tahadhari ya afya kwa umma ya kuongezeka kwa maambukizi ya mafua na Uviko-19 na kuongezeka kwa hatari ya homa ya dengue, huku ikiwataka wananchi kuchukua hatua za haraka za kujikinga hasa katika kipindi cha msimu wa mvua.
-
NGO iliyoanzishwa na CIA yakiri kuhusika na machafuko Iran
Feb 25, 2026 23:57Shirika lisilo la Kiserikali (NGO) Marekani National Endowment for Democracy (NED), ambalo lilianzishwa na shirika kuu la kijasusi nchini humo, CIA, limekiri kuwa lilitumia takriban vifaa 200 vya Starlink nchini Iran wakati wa machafuko ya hivi karibuni.
-
Kampuni ya Mali yachukua vituo vya mafuta vya TotalEnergies
Feb 25, 2026 23:51Kampuni ya NDC Energie ya Mali imenunua takriban vituo 80 vya mafuta nchini Mali ambavyo awali vilikuwa vinaendeshwa na shirika la Ufaransa la TotalEnergies.
-
Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani
Feb 25, 2026 23:47Rais wa Marekani Donald Trump amekoleza maradufu moto wa kampeni yake ya kueneza sumu dhidi ya Iran kwa kurudia tena tuhuma hewa za kila mara kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.
-
Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake
Feb 25, 2026 23:03Ingawa Marekani daima inapiga ngoma ya vita na kutishia kuishambulia Iran kwa kutuma manowari na zana nyingine nzito za kijeshi katika maji yaliyo karibu na Iran, lakini ukweli wa mambo unaashiria hali tofauti kabisa.
-
UN yalaani mashambulizi ya RSF huko Sudan, yataka vita vikomeshwe
Feb 25, 2026 05:53Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) limeelezea "wasiwasi mkubwa" kuhusu kuongezeka kwa ghasia na machafuko katika nchi iliyoathiriwa ba vita ya Sudan, hasa katika majimbo ya Darfur na Kordofan, likitaka mapigano yasitishwe mara moja.
-
Intelijinsia ya Israel: Jeshi la Marekani linaweza kumudu mashambulizi dhidi ya Iran kwa siku kadhaa tu
Feb 25, 2026 05:35Maafisa wa ujasusi wa Israel wanakadiria kuwa Marekani inaweza kuendeleza mashambulio ya kijeshi kwa "siku nne hadi tano" pekee dhidi ya Iran ikiwa itaanzisha mashambulizi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu. Hii ni kwa mujibu wa ripoti mpya.
-
Iran na Gambia zapania kuimarisha uhusiano wa pande mbili
Feb 25, 2026 05:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi na mwenzake wa Gambia wamesisitiza haja ya kusimamisha uhusiano wa kirafiki kati ya nchi hizo mbili katika nyanja zote zenye maslahi ya pande mbili.
-
Araghchi asisitizia fursa ya kufikia mwafaka na US, kulindwa mamlaka ya nchi kwa gharama yoyote
Feb 25, 2026 03:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesema Iran na Marekani zina "fursa ya kihistoria" iliyopo mbele ya macho ya kufikia "makubaliano ambayo hayajawahi kushuhudiwa," huku akionya kwamba Jamhuri ya Kiislamu italinda uhuru na mamlaka yake ya kujitawala kwa gharama yoyote endapo kutakuwa na uvamizi mpya wa kijeshi wa Marekani.