-
Uganda yawaweka karantini zaidi ya watu 100 huku WHO ikitoa tahadhari kuhusu kasi ya Ebola
May 20, 2026 03:20Serikali ya Uganda inasema zaidi ya watu 100 wamewekwa karantini huku maafisa wa afya wakijitahidi kudhibiti mlipuko nadra wa Ebola unaohusishwa na aina ya virusi vya Bundibugyo.
-
Kulegeza kamba mara kwa mara Trump, ishara ya kuemewa mbele ya Iran
May 20, 2026 03:01Pars Today - Rais wa Marekani Donald Trump, kwa mara ya kumi na moja katika kipindi cha wiki chache tu, amerudia tena majigambo yake ya kuishambulia Iran lakini baadaye anatafuta kisingizio cha kuakhirisha kushambulia.
-
Russia yaanza mazoezi ya nyuklia ya siku 3 huku Putin akitarajiwa nchini China kwa ziara ya siku mbili
May 20, 2026 02:57Russia imezindua mazoezi makubwa ya silaha za nyuklia yanayohusisha makumi ya maelfu ya wanajeshi, huku mapigano na Ukraine yakizidi kuwa makali na Rais Vladimir Putin akielekea China kwa ziara ya siku mbili.
-
Sheikh Zakzaky: Damu ya Imam Khamenei aliyeuawa shahidi itawaandama Wazayuni
May 20, 2026 02:55Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria amesema Imam Ali Khamenei aliyeuawa shahidi na damu yake safi vitaendelea kuuandama utawala wa Kizayuni wa Israel ambao ni sawa na donda la saratani.
-
Intelijensia ya Iran yasambaratisha kundi la magaidi wa kitakfiri wenye uhusiano na Israel
May 20, 2026 02:50Timu za upelelezi za Iran zimefanikiwa kusambaratisha seli nne za wanamgambo wa Kitakfri wenye mfungamano na utawala wa Israel katika mkoa wa Sistan na Baluchistan, kusini mashariki mwa Iran mkoa unaopakana na Pakistan.
-
Mshauri wa Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran na vikosi vya jeshi vitailazimisha Marekani kusalimu amri
May 19, 2026 12:48Mshauri mkuu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema kwamba mkono wa chuma wa vikosi vya jeshi na taifa thabiti la Iran vitailazimisha Marekani kurudi nyuma na kusalimu amri.
-
Serikali ya Uganda yaweka udhibiti wa mipaka kutokana na mlipuko wa Ebola DRC
May 19, 2026 12:44Uganda imeanzisha udhibiti wa mipaka kutokana na mlipuko wa virusi vya Ebola. Wafanyakazi wa afya nchini humo tayari wameanza kupima halijoto ya watu huku wakiwasaidia kunawa mikono yao karibu na Bundibugyo magharibi mwa Uganda.
-
Watu watano wauawa katika shambulio dhidi ya msikiti na Kituo cha Kiislamu huko California
May 19, 2026 12:24Polisi wa San Diego huko California nchini Marekani wametangaza kwamba watu watano wameuawa katika shambulio lililolenga kituo cha Kiislamu cha mji huo, wakiwemo washambuliaji wawili.
-
ICC yasikiliza kesi dhidi ya kamanda wa zamani wa Gereza la Mitiga huko Libya kuhusu unyanyasaji
May 19, 2026 11:12Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imefungua kesi dhidi ya kamanda wa zamani wa gereza la Libya, Mohammed Ali El Hishri, anayetuhumiwa kusimamia uhalifu dhidi ya ubinadamu katika kituo maarufu cha kizuizi cha Mitiga karibu na Tripoli.
-
Mgomo wa sekta ya uchukuzi Kenya waahirishwa kuruhusu mazungumzo baina ya serikali na sekta hiyo
May 19, 2026 11:02Mgomo wa sekta ya uchukuzi uliokuwa umeingia siku ya pili nchini Kenya umeahirishwa kwa muda wa siku saba ili kutoa nafasi kwa mazungumzo kati ya serikali na viongozi wa sekta hiyo.