-
Iran yamkemea balozi wa Marekani aliyeunga mkono mpango wa “Israel Kubwa”
Feb 22, 2026 08:52Iran imejiunga na nchi na mashirika kadhaa ya Kiislamu na Kiarabu katika kulaani vikali kauli za balozi wa Marekani katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu, aliyedokeza kuwa Israel ina haki ya kupanua uvamizi wake hadi sehemu kubwa ya Asia Magharibi.
-
Türk: Akili Mnemba izingatie ujumuishaji, uwajibikaji na viwango vya kimataifa
Feb 22, 2026 08:45Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu, Volker Türk, ameonya kuwa bila kuweka mifumo madhubuti ya udhibiti kwa haraka, akili mnemba (AI) inaweza kuongeza pengo la usawa, kuimarisha upendeleo na kusababisha madhara halisi katika jamii.
-
Sekta ya madini ya Sudan yapata hasara ya dola bilioni 7 huku vita vikiendelea
Feb 22, 2026 08:44Sekta ya madini nchini Sudan imepata hasara inayokadiriwa kufikia dola bilioni saba kufuatia kuendelea kwa vita vya vya ndani kwa takribani miezi 34. Hayo ni kwa mujibu wa Mamlaka ya Kitaifa ya Madini ya nchi hiyo.
-
Iran yajibu mapigo kwa kuyatambua majeshi ya wanamaji na wanaanga ya EU kama mashirika ya 'kigaidi'
Feb 22, 2026 03:21Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kuhusu uchukuaji hatua za kujibu mapigo kukabiliana na uamuzi haramu wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya, EU wa kuviwekea lebo ya ugaidi baadhi ya vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Matamshi ya Huckabee yalaaniwa vikali katika Ulimwengu wa Kiislamu, yaitwa ya 'kipuuzi' na 'kichochezi'
Feb 22, 2026 03:20Matamshi ya balozi wa Marekani katika utawala wa kizayuni wa Israel Mike Huckabee kwamba utawala huo ghasibu una haki ya kupanua eneo lake kwa kupora eneo kubwa la Mashariki ya Kati la nchi kadhaa za Kiarabu na Kiislamu za eneo hilo yamekosolewa na kulaaniwa vikali na nchi hizo, Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu, OIC, Jumuiya ya Waarabu na makundi ya ukombozi wa Palestina.
-
Ufaransa yairejeshea Ivory Coast 'ngoma inayozungumza' waliyoiiba askari wake karne moja iliyopita
Feb 22, 2026 03:19Ufaransa imekabidhi "ngoma inayozungumza" ambayo iliporwa na wanajeshi wake wa kikoloni nchini Ivory Coast mnamo mwaka 1916, katika hatua ya karibuni zaidi kuchukuliwa na serikali ya Paris ya kurejesha vito vya sanaa ilivyoviiba kwenye makoloni yake ya zamani.
-
Wazayuni washadidisha mashambulizi Ukingo wa Magharibi katika mwezi wa Ramadhani
Feb 22, 2026 03:18Sambamba na kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani, jeshi la utawala wa Kizayuni limeshadidisha mashambulizi yake katika maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi huko Palestina.
-
Pakistan: Suala la kuitambua rasmi Israel halipo kabisa katika ajenga zetu
Feb 22, 2026 03:17Waziri wa Ulinzi wa Pakistan amesisitiza kwamba, suala la kuutambua rasmi utawala wa Kizayuni wa Israel si jambo ambalo lipo katika ajenga za nchi hiyo.
-
Mjibizo hasi wa maoni ya umma wa Marekani kwa sera za kupenda vita za Trump
Feb 22, 2026 03:00Maoni ya umma nchini Marekani katika mwaka huu wa 2026, yanapinga vikali chokochoko yoyote mpya ya kijeshi dhidi ya Iran. Fikra za walio wengi nchini Marekani zina mtazamo hasi kuhusiana na sera za kupenda vita za Rais mtata Donald Trump.
-
Kwa nini Amnesty International imelaani operesheni za kijeshi za Marekani huko Karibiani na Pasifiki?
Feb 21, 2026 22:59Shirika la Amnest International limelaani mashambulizi ya Marekani katika eneo la Karibiani na huko Pasifiki.