-
WHO yaainisha mlipuko wa Ebola Congo DR na Uganda kama dharura ya afya ya umma
May 17, 2026 08:45Shirika la Afya Duniani (WHO) limeainisha mlipuko wa virusi vya Ebola vya Bundibugyo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda kama dharura ya afya ya umma inayotia wasiwasi kimataifa.
-
UN yatoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu unyanyasaji dhidi ya wafungwa katika magereza ya Israel
May 17, 2026 08:42Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa imelaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Israel dhidi ya wafungwa wa Kipalestina, ikitaka kufanyike uchunguzi huru, usioegemea upande wowote na wa wazi kuhusu visa vyote vya vifo, mateso, unyanyasaji na ukiukaji mwingine, na kwa wale waliohusika kuwajibishwa.
-
Tehran yaikosoa Magharibi kwa kutoweza kutatua migogoro inayojitengenezea yenyewe
May 17, 2026 02:45Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amemsihi mwandishi anayepinga ukoloni, Aimé Césaire, kulaani uozo wa maadili, unafiki na kushindwa kwa nchi za Magharibi kukabiliana na migogoro iliyotokana na vita na udhibiti wao.
-
Mzimu wa Khashoggi bado unamwandama Bin Salman; Mahakama ya Ufaransa yaidhinisha uchunguzi kuhusu mauaji yake
May 17, 2026 02:43Jaji wa Ufaransa atachunguza mauaji ya mwandishi wa habari wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi mwaka 2018 kufuatia malalamiko yaliyowasilishwa na mashirika kadhaa ya kutetea haki za binadamu dhidi ya Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman.
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemeni: Ansarullah iko ‘bega kwa bega’ na Hizbullah dhidi ya Israel
May 17, 2026 02:39Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesema harakati ya muqawama ya nchi hiyo Ansarullah iko "bega kwa bega" na harakati ya mapambano ya Lebanon Hizbullah katika kukukabiliana na njama na uchokozi wa utawala ghasibu wa Israel.
-
Jeffrey Sachs: Walioishambulia Iran wanapasa kuarifishwa kama pande zilizoshindwa vitani
May 17, 2026 02:37Mchumi mashuhuri wa Marekani, anaamini kuwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa, walioanzisha mashambulizi dhidi ya Iran wanapaswa kuarifishwa kama pande zilizoshindwa vitani; wamekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na wanawajibika kwa uharibifu na matokeo ya vita walivyovianzisha.
-
Watu wenye silaha wawateka nyara makumi ya wanafunzi katika Jimbo la Borno nchini Nigeria
May 17, 2026 02:34Watu waliokuwa na silaha wameteka nyara makumi ya wanafunzi wa shule katika jimbo lililokumbwa na machafuko la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Kumalizika enzi za kutekeleza kwa lazima amri za kimabavu za madola ya Magharibi
May 17, 2026 02:03Pars Today - Majid Nili Ahmadabadi, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Ujerumani amejibu kauli za kansela wa nchi hiyo alizotoa baada ya mazungumzo ya simu na rais wa Marekani Donald Trump, akisema kwa maandishi kwamba: "Enzi ya kutekeleza kwa lazima amri za kimabavu na za upande mmoja za madola ya Magharibi, zimekwisha.
-
Rais Pezeshkian ampongeza Papa Leo, asema Iran bado imejitolea kwa diplomasia
May 16, 2026 12:21Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza misimamo ya kimaadili ya Papa Leo XIV kuhusu uchokozi wa hivi karibuni wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran, akisisitiza haja ya jamii ya kimataifa kuchukua mwelekeo unaotilia maanani hali halisi na wa haki, na kutoa wito kwa nchi zote duniani kukabiliana na matakwa haramu na sera za kibabe na hatari za Marekani.
-
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Kuhusu "Siku ya Nakbat"; Uhalifu wa Israel ni jinai ya kivita
May 16, 2026 12:15Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza katika taarifa iliyotolewa kwa mnasaba wa tukio la "Siku ya Nakbat" kwamba uhalifu unaofanywa na Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni kielelezo halisi cha jinai za kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya kimbari, na kwa msingi huu, mahakama za kimataifa zinataka kuwaadhibu wahalifu wa Kizayuni.