-
Serikali ya Kenya: Tuko imara katika ugatuzi
Feb 13, 2016 03:07Serikali ya Kenya imesisitiza kwamba kwamba ipo imara kuimarisha ugatuzi kinyume na madai yanayotolewa na wapinzani.
-
Mjadala wa ukomo wa urais nchini Uganda wapamba moto
Feb 13, 2016 03:02Kampeni za Uchaguzi Mkuu nchini Uganda zimepamba moto, huku kila mgomea akizidi kunadi sera zake.
-
Rais wa Tanzania atimiza siku 100 akiwa madarakani (Sauti)
Feb 11, 2016 14:53Wakati siku mia moja za rais mpya wa Tanzania DK, John Pombe Magufuli madarakani zikitimia,Watanzania wamemtaka rais huyo kuongeza kasi ya kuwabana mafisadi wanaohujumu uchumi wa nchi hiyo bila kuwaonea huruma.
-
Rwanda yakanusha kuwasaidia waasi wa Burundi (Sauti)
Feb 11, 2016 14:46Kwa mara ya kwanza tangu Rwanda iliposhutumiwa na Umoja wa Mataifa kuwa inawaunga mkono waasi ambao Burundi inasema wanahatarisha usalama wake, serikali ya Kigali imekanusha rasmi madai hayo
-
Waislamu Kenya walaani kupewa likizo ya lazima Sumaya Uthman
Feb 06, 2016 08:21Wataalamu wanawake wa Kiislamu nchini Kenya kupewa likizo ya lazima Sumaya Uthman.
-
Museveni: Hakuna machafuko yatakayotokea Uganda wakati wa uchaguzi
Feb 06, 2016 08:03Rais Yoweri Museveni wa Uganda amewatoa hofu wananchi wa nchi hiyo akisema hakuna fujo zitakazotokea wakati au baada ya uchaguzi kama inavyodaiwa na baadhi ya wanasiasa