Mjadala wa ukomo wa urais nchini Uganda wapamba moto
Feb 13, 2016 03:02 UTC
Kampeni za Uchaguzi Mkuu nchini Uganda zimepamba moto, huku kila mgomea akizidi kunadi sera zake.
Uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Februari 18, 2016 unafanyika katika hali ambayo hivi sasa mjadala kuhusu kuwekewa kikomo muda wa watu kugombea ukizidi kupamba moto.
Bofya katika picha hapo juu kusikiliza ripoti ya mwandishi wa Radio Tehran, mjini Kampala
Tags