Museveni: Hakuna machafuko yatakayotokea Uganda wakati wa uchaguzi
Feb 06, 2016 08:03 UTC
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amewatoa hofu wananchi wa nchi hiyo akisema hakuna fujo zitakazotokea wakati au baada ya uchaguzi kama inavyodaiwa na baadhi ya wanasiasa
Kauli ya Museveni ni majibu kwa matamshi ya Jenerali David Sejusa
aliyesema kuwa Uganda itateketea endapo kiongozi huyo atatumia hila
kushinda katika uchaguzi ujao. Hivi sasa Jenerali Sejusa anashikiliwa
katika jela ya Luzira.
Mwandishi wa Radio Tehran mjini Kampala ametutayarishia ripoti hiyo hapo juu
Tags