-
Askari Mzayuni awabembeleza wanamapambano wa Palestina wasimuue + VIDEO
Oct 12, 2023 23:06Wanamapambano wa Palestina wamesambaza mkanda wa video unaomuonesha askari wa Tel Aviv akitetemeka mwili mzima huku akiwaomba kwa kubembeleza wanamapambano wa Palestina wasimuue.
-
Mapokezi makubwa ya Sheikh Ibrahim Zakzaky nchini Iran +VIDEO
Oct 12, 2023 10:08Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria alivyolakiwa na umati mkubwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imamu Khomeini (RA)
-
Jinsi Sheikh Zakzaky alivyopokewa Iran+VIDEO
Oct 12, 2023 10:05Sheikh Ibrahm Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria aliwasili mjini Tehran siku ya Jumatano na kulakiwa umati mkubwa wa wananchi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imamu Khomeini (RA)
-
Wananchi wa Iran washerehekea ushindi wa kihistoria wa Wapalestina + Video
Oct 07, 2023 23:56Wananchi wa jiji la Tehran wamekusanyika mbele ya ubalozi wa Palestina kusherehekea ushindi wa kihistoria waliopata wanapambano wa Palestina katika shambulio kubwa walilofanya jana Jumamosi dhidi ya Wazayuni.
-
MAHOJIANO na mwanahabari wa Kenya aliyeshiriki Tamasha la Khorshid Iran
Oct 03, 2023 11:33Mji wa pili kwa ukubwa nchini Iran wa Mashhad hivi karibuni ulikuwa mwenyeji wa mkutano muhimu wa waandishi wa habari wanawake mashuhuri wanaofanya kazi katika majukwaa mbadala ya vyombo vya habari kutoka kote ulimwenguni.
-
Harusi ya mauti! Zaidi ya watu 263 wafariki dunia na kujeruhiwa nchni Iraq + Video
Sep 27, 2023 00:25Takriban watu 113 wamefarikidi dunia na zaidi ya 150 kujeruhiwa katika moto uliozuka kwenye sherehe ya harusi katika mkoa wa Nineveh wa kaskazini mwa Iraq.
-
Rais wa Iran: Maadui hawatafanikiwa kamwe kupotosha ukweli wa Qur'ani
Sep 20, 2023 08:02Rais Ebrahim Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa Iran amelihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kueleza kwamba, maadui hawatafanikiwa kupotosha uhakiika wa Qur'ani.
-
Sheikh Ibrahim Zakzaki: Muqawama wa Imam Husain AS ndiyo njia pekee ya kuokoka mwanadamu + Video
Sep 07, 2023 07:37Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa, kuendeleza njia ya Imam Husain AS ndilo chaguo pekee bora la kuweza kumwokoa mwanadamu mbele ya dhulma na ukandamizaji.
-
Waislamu wa Kondoa Tanzania walaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu +VIDIO
Jul 30, 2023 04:42Waislamu wa madhehebu ya Shia na Suni katika Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma nchini Tanzania kwa pamoja wamelaani vikali kuvunjiwa heshima kitabu kitakatifu cha Qur'ani.
-
Rais wa Iran apokewa Zimbabwe kwa kaswida ya "Salam Farmande"
Jul 13, 2023 08:04Rais wa Iran apokewa Zimbabwe kwa kaswida ya "Salam Farmande"