-
SAUTI, Wizara ya Afya Uganda: Bado tuna magonjwa matatu makubwa ambayo yanatunyima usingizi
Aug 10, 2018 12:02Maradhi matatu makubwa, yametajwa kuwa ni changamoto ambayo hadi sasa inaendelea kulisumbua taifa la Uganda.
-
Muungano wa walimu wakuu Afrika wataka kuunganishwa katika Umoja wa Afrika
Aug 08, 2018 13:33Muungano wa walimu wakuu barani Afrika umepitisha hoja ya kutaka kujumuishwa muungano huo katika nafasi ya uangalizi kwenye Umoja wa Afrika. Muungano huo kadhalika umetupilia mbali hoja ya uwezekano wa kuwa na mfumo mmoja wa elimu barani humu, ukisema kila taifa mwanachama lina matatizo maalumu, ila kinacho hitajika ni usimamizi bora wa taasisi za elimu. Kutoka Mombasa mwandishi wetu Seifullah Murtadha ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo….
-
Zarif: Dunia haiafikiani na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran + Video
Aug 08, 2018 10:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, dunia haiafikiani na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na kusema kuwa, sasa hivi nchi mbalimbali duniani zinafanya juhudi za kupambana na vikwazo hivyo.
-
SAUTI, Sheikh Hemedi Jalala, awataka watu wenye imani tofauti kuvumiliana, kuelewana na kulinda amani
Aug 06, 2018 12:11Kiongozi wa Chuo cha Imam Swadiq (as) jijini Dar es Salaam, Tanzania Sheikh Hemed Jalala, ametoa mwito kwa watu wa dini tofauti kuishi kwa maelewano, amani na utulivu.
-
SAUTI, Mamlaka ya mapato nchini Uganda, imeamua kutumia mashine za kisasa katika kunasa bidhaa haramu
Aug 06, 2018 12:10Mamlaka ya kukusanya mapato nchini Uganda URA, imetangaza kwamba imefanikiwa kunasa kiasi kikubwa cha bidhaa haramu ambazo zilikuwa zikiingizwa nchini bila kulipiwa ushuru.
-
Iran yalaani jaribio la kutaka kumuua Rais wa Venezuela + Video
Aug 05, 2018 11:12Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali jaribio la kutaka kumuua rais wa Venezeula Nicolas Maduro.
-
Amoli Larijani: Marekani kuunda ISIS ni mfano wa ukiukwaji haki za binadamu + Video
Aug 05, 2018 11:09Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Mbinu ambazo Marekani na Wamagharibi wanazitumia hazina maana nyingine zaidi ya ukiukwaji haki za binadamu."
-
SAUTI, Serikali ya Kenya yachukua hatua kali kukilinda kisiwa cha Mombasa kisitoweke
Aug 03, 2018 03:29Serikali ya Kenya imeweka mikakati madhubuti kuhakikisha kisiwa cha Mombasa kinasalia kuwa kisiwa.
-
SAUTI, Marais wastaafu wa Kiafrika wazitaka nchi za bara hilo kuacha tabia ya kuombaomba misaada
Aug 03, 2018 03:27Marais saba wa zamani wa nchi za Kiafrika, walianza jana kikao cha siku mbili mjini Kigali, Rwanda ambapo wamesema kwamba serikali zilizoko madarakani barani Afrika zinahitaji mfumo bora wa ukusanyaji mapato.
-
SAUTI, Waislamu nchini Kenya wapinga uteuzi wa mabalozi Wakristo kupelekwa maeneo matukufu
Jul 29, 2018 12:15Waislamu nchini Kenya wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo kuwa makini katika kuzingatia maeneo anayowatuma mabalozi wake duniani.