Muungano wa walimu wakuu Afrika wataka kuunganishwa katika Umoja wa Afrika
Aug 08, 2018 13:33 UTC
Muungano wa walimu wakuu barani Afrika umepitisha hoja ya kutaka kujumuishwa muungano huo katika nafasi ya uangalizi kwenye Umoja wa Afrika. Muungano huo kadhalika umetupilia mbali hoja ya uwezekano wa kuwa na mfumo mmoja wa elimu barani humu, ukisema kila taifa mwanachama lina matatizo maalumu, ila kinacho hitajika ni usimamizi bora wa taasisi za elimu. Kutoka Mombasa mwandishi wetu Seifullah Murtadha ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo….
Tags