-
Sauti, Bomoabomoa ya nyumba jijini Dar es Salaam, Tanzania yawaacha wakazi wa jiji hilo na hali ya suitafahamu bila kujua mamlaka husika
Sep 20, 2017 14:08Bomoabomoa ambayo imekuwa ikitekelezwa na uongozi wa jiji la Dar es Salaam, Tanzania umewaacha katika hali ya suitafahamu, wakazi wa jiji hilo.
-
Sauti, Ripoti ya Matukio ya Kiislamu kuanzia Kenya, matukio ya kisiasa Tanzania, kumalizika mwaka 1438 Hijiria na nchini Myanmar
Sep 15, 2017 11:50Ripoti ya Matukio ya Kiislamu kuanzia sisitizo la Waislamu wa Kenya kuwa kitu kimoja na kujiepusha kununuliwa na wanasiasa katika kipindi hiki muhimu kuelekea uchaguzi wa marudio wa tarehe 17 Oktoba.
-
SAUTI, Mashirika ya haki za binaadamu 102 nchini Tanzania yamelaani vitendo vya utumiaji mabavu, uhalifu na utekaji nyara watu
Sep 12, 2017 13:47Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kwa kushirikiana na mashirika mengine 102 ya utetezi wa haki za binadamu nchini Tanzania yamelaani vitendo vya uhalifu vinavyoendelea kama shambulizi la risasi kwa viongozi mbalimbali, pamoja na matukio ya utekaji nyara wa watu.
-
Jukwaa la wanasayansi wa Kiafrika laanzishwa nchini Rwanda kwa ajili ya kuinua sekta ya kilimo
Sep 07, 2017 10:03Kwa mara ya kwanza barani Afrika kumeanzishwa jukwaa la wanasayansi wanaolenga kutatua changamoto mbalimbli za maendeleo zinazolikabili bara hilo hususan katika sekta ya kilimo.
-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mahujaji + Sauti
Aug 31, 2017 05:10Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei leo ametoa ujumbe kwa mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu ambapo ameashiria siasa za mfumo wa kibeberu za kuzusha mifarakano kati ya Waislamu na kusema kuwa, ni wajibu wa viongozi wa nchi za Kiislamu, wasomi na wanafikra katika ulimwengu wa Kiislamu kuimarisha umoja, kuyazindua mataifa mbalimbali na kusitisha mara moja maafa machungu katika nchi za Waislamu.
-
SAUTI, Mahakama Kuu Kenya yauruhusu upinzani kukagua Computer za IEBC ili kuthibitisha kama kuna wizi ulivyofanyika kwenye uchaguzi
Aug 28, 2017 12:53Kesi inayopinga matokeo ya urais nchini Kenya imeanza kusikilizwa rasmi na mahakama ya juu zaidi nchini humo hii leo, huku uapnde wa malalamiko ambao ni muungano wa upinzani ukianza utetezi wake kwa saa tano.
-
Sauti, Mahojiano kuhusu kuuawa na kujisalimisha viongozi zaidi wa ash-Shabab je, kuna maana ya kundi hilo kusambaratika au la?
Aug 20, 2017 11:59Jeshi la polisi Kenya limeongeza harakati ya kamatakamata ukanda wa Pwani, baada ya kuuwawa kiongozi wa masuala ya lojistiki wa kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab eneo bunge la Kisauni mjini Mombasa.
-
Sauti, zaidi ya watu 30 wameuawa katika mji wa Zemio unaotajwa kuwa ulio baki nyuma zaidi kimaendeleo nchini CAR
Aug 20, 2017 11:59Zaidi ya watu 30 wameuawa na watu wanaodhaniwa kuwa ni muungano wa waasi wa Seleka na baadhi ya Anti-Balaka katika mji wa Zemio, ulioko kusini mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
SAUTI, Raila Odinga: Naelekea mahakamani kuonyesha uchakachuaji wa IEBC ulivyofanyika kwa maslahi ya Rais Kenyatta
Aug 16, 2017 12:54Kinara wa muungano wa upinzani wa NASA nchini Kenya, Raila Odinga hatimaye amepasua mbarika na kusema kuwa ataenda katika Mahakama ya Juu ya nchi kupinga matokeo ya kura za urais yaliyompa ushindi hasimu wake Rais Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee.
-
SAUTI, Wizara ya Usalama wa Ndani Kenya: Polisi haijatumia nguvu kuwazuia wanaoandamana kwa amani nchini
Aug 12, 2017 11:43Usalama umeimarishwa kikamilifu katika maeneo yanayoaminika kuwa ngome za upinzani nchini Kenya kwa lengo la kuzuia machafuko.