-
SAUTI, Matukio ya uchaguzi mkuu nchini Kenya
Aug 08, 2017 12:38Mamilioni ya Wakenya leo wameshiriki kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, madiwani, maseneta, wabunge, magavana na wawakilishi wa wanawake.
-
SAUTI, Ripoti ya matukio yaliyojiri Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kuanzia mauaji ya wanamgambo na mwito wa wapinzani
Aug 08, 2017 12:32Wapinzani wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameitisha mgomo wa nchi nzima dhidi ya serikali ya Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo.
-
SAUTI, Idhaa ya Kiswahili Redio Tehran yatunukiwa tuzo ya kulinda lugha ya Kiswahili na chama cha Lugha na Fasihi Tanzania
Aug 05, 2017 12:55Chama cha Lugha na Fasihi ya Kiswahili nchini Tanzania CHALUFAKITA imeitunuku Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zawadi maalumu ya shahada ya kutunza lugha ya Kiswahili.
-
SAUTI, Wageni waishio Rwanda waisifu nchi hiyo kwa kuwa na usalama wa hali ya juu licha ya nchi hiyo kuwa katika uchaguzi wa rais
Aug 03, 2017 12:06Raia wa kigeni wanaoishi nchini Rwanda wamesema kuwa hawana wasiwasi wa usalama nchini humu huku zikiwa zimesalia saa chache kabla ya kuanza shughuli ya upigaji kura wa uchaguzi wa rais.
-
SAUTI, Ripoti ya matukio ya Kiislamu kuanzia kilio cha Waislamu Kenya, Uganda na ongezeko la talaka za kiholela Zanzibar
Jul 29, 2017 10:54Ripoti ya matukio ya Kiislamu kuanzia malalamiko ya Waislamu kwa ofisi ya uhamiaji nchini Kenya ambayo inatajwa kufanya makusudi kuchelewesha kuwapatia pasi za kusafiria Waislamu zaidi ya 100 wanaotaka kwenda kushiriki ibada ya Hijja ya mwaka huu huo Saudia.
-
SAUTI, Tume ya Uchaguzi ya Rwanda yawaonya waangalizi wa uchaguzi wa ndani na nje kutoenda kinyume na kazi yao
Jul 29, 2017 10:47Tume ya uchaguzi nchini Rwanda imewaonya waangalizi wa uchaguzi kutoka ndani na nje ya nchi hiyo kutoingilia siasa za ndani za taifa hilo na badala yake wanatakiwa kuheshimu majukumu yao.
-
SAUTI, Viongozi wa CUF Zanzibar wamekutana leo kujadili njia za kuchukua kufuatia hatua ya bunge dhidi ya chama hicho
Jul 28, 2017 12:20Viongozi wa chama cha wananchi CUF kutoka bara na visiwani nchini Tanzania wamekutana leo Zanzibar kujadili hatua ya hivi karibuni iliyochukuliwa na Spika wa Bunge la Tanzani Job Ndugai ya kuwapiga kalamu nyekundu wabunge wanane wa chama hicho kufuatia barua iliyowasilishwa na Profesa Ibrahim Haruna Lipumba, Mwnyekiti wa CUF anayetambuliwa na msajili wa vyama vya siasa nchini humo.
-
SAUTI, Waislamu nchini Kenya wakosoa vikali hatua ya Baraza la CIPK kujihusisha na siasa kwa kumpigia debe Rais Kenyatta
Jul 28, 2017 11:31Waumini wa dini ya Kiislamu nchini Kenya wamekosoa na kulaani kitendo cha Baraza la Maimamu na Wahubiri nchini Kenya CIPK kujitosa hadharani na kutangaza kumpigia debe Rais Uhuru Kenyetta wa nchi hiyo.
-
SAUTI, Magaidi wa Kikristo wa Anti-Balaka wanaendelea kuwazingira Waislamu ndani ya kanisa nchini CAR
Jul 28, 2017 11:30Magaidi wa kundi la Kikristo la Anti-Balaka wameendelea kuwazingira Waislamu wapatao 2000 waliokimbilia katika kanisa moj la mji wa Bangassou, yapata kilomita 700 mashariki mwa mji mkuu Bangui tangu tarehe 20 ya mwezi huu.
-
SAUTI, Polisi ya Rwanda yamtia mbaroni mkuu wa wilaya kwa kuwazuia wananchi kushiriki mikutano ya wagombea wa upinzani
Jul 24, 2017 12:21Polisi nchini Rwanda inamshikilia mkuu wa wilaya moja kwa tuhuma za kuwawekea vikwazo wagombea urais katika kampeni za uchaguzi mkuu zinazoendelea nchini humo hivi sasa.