-
VIDEO + PICHA: Rais Rouhani alipozindua mfumo wa kisasa wa Iran wa kujilinda na makombora Bavar 373
Oct 13, 2016 12:45Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezindua mfumo wa kisasa kabisa wa kujilinda na makombora uliotengenezwa na wataalamu wa Iran ambao una nguvu kuliko ule wa S300 wa Russia. Mfumo huu wa makombora wa Iran unaitwa Bavar-373
-
SAUTI: Serikali ya Tanzania yaendelea kuwashawishi wafanyabiashara wa nchi jirani kutumia bandari ya Dar es Salaam, Tanga
Oct 11, 2016 13:43Serikali ya Tanzania imeendelea kuboresha miundombinu katika bandari zake za jijini Dar es Salaam na Tanga ili kuzivutia nchi majirani zisizokuwa na bandari kuweza kutumia bandari hizo.
-
SAUTI: Mgogoro wa Jamii ya Wakenya wasiokuwa na uraia wa taifa hilo wazidi kupanuka na sasa ukiwasukuma watu hao kwenda ikulu
Oct 11, 2016 13:38Jamii ya Wakenya wasiokuwa na uraia wa taifa hilo wanaoishi maeneo ya pwani, wameanzisha matembezi ya amani ya umbali wa zaidi ya kilomita 600 kuelekea ikulu ya Rais Uhuru Kenyatta jijini Nairobi.
-
SAUTI: Waislamu duniani watakiwa kutofanya jazba katika kuchukua maamuzi
Oct 09, 2016 15:13Waislamu kote ulimwengu wametakiwa wametakiwa kujifunza vyema dini yao na kutokubali kuingizwa kwenye magenge yanayotumia dini kutenda vitendo vilivyo kinyume na Uislamu. Maelezo zaidi yamo kwenye ripoti ya mwandishi wa Radio Tehran, jijini Dar es Salaam, Tanzania.
-
SAUTI, Sababu ya Saudia kushambulia ovyo maeneo ya raia yabainika kuwa ni baada ya kushindwa kwake vitani
Oct 08, 2016 13:57Walimwengu wameendelea kulaani kimya cha jamii ya kimataifa ukiwemo Umoja wa Mataifa juu ya jinai za kutisha za Saudi Arabia nchini Yemen, huku wahanga wakubwa wa jinai hizo wakiwa ni raia wa kawaida.
-
VIDEO: Kama ulipitwa na video wakati Netanyahu alipoaibika; wakati mbunge Muislamu wa Uholanzi alipokataa kumpa mkono, ingia hapa kuiona
Oct 05, 2016 07:15Tunahan Kuzu, mbunge Muislamu wa chama cha DENK katika bunge la Uholanzi amekataa kumpa mkono Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakati wa safari rasmi aliyofanya kuitembelea nchi hiyo.
-
SAUTI: Mfahamu Pasta, Frédéric Ntumi anayeongoza kundi la waasi wa Ninja nchini Congo Brazzaville dhidi ya
Oct 02, 2016 23:46Mapigano yameendelea kushuhudiwa nchini Jamhuri ya Congo Brazzaville kati ya wapiganaji wa Frédéric Ntumi na askari wa serikali ya Rais Denis Sassou Nguesso.
-
VIDEO: Iran yaonesha ndege za drone ilizozitengeneza baada ya kuziteka kutoka kwa Marekani na Israel
Oct 01, 2016 09:57Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanikiwa kutengeneza mfano wa ndege zisizo na rubani (drone) ilizoziteka kutoka kwa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel. Ndege hizo zina uwezo zaidi ya ule wa ndege za asili za Marekani na Israel. Video hii inaonesha sehemu ya ndege hizo na namna zinavyofanya kazi kwa ufanisi mkubwa.
-
SAUTI: Wanachama CUF TZ: Mgogoro uliopo chamani utatuliwe kwa pande hasimu kuheshimu katiba ya chama
Sep 29, 2016 14:52Wanachama wa chama cha Wananchi CUF nchini Tanzania, wamewataka viongozi wanaohasimiana, kutanzua mgogoro uliopo wa kwa kuchunga misingi ya katiba ya chama hicho.
-
SAUTI: Polisi Kenya: Tumemuua gaidi wa ash-Shabab aliyekuwa akisakwa kwa muda mrefu
Sep 28, 2016 12:23Idara ya polisi nchini Kenya imetangaza kumpiga risasi na kumuua mshukiwa mkuu wa ugaidi nchini humo ambaye amekuwa akisakwa kwa muda mrefu na jeshi hilo.