SAUTI: Waislamu duniani watakiwa kutofanya jazba katika kuchukua maamuzi
Oct 09, 2016 15:13 UTC
Waislamu kote ulimwengu wametakiwa wametakiwa kujifunza vyema dini yao na kutokubali kuingizwa kwenye magenge yanayotumia dini kutenda vitendo vilivyo kinyume na Uislamu. Maelezo zaidi yamo kwenye ripoti ya mwandishi wa Radio Tehran, jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Tags