Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

َArubaini ya Imam Hussein

  • Jumbe za kisiasa za matembezi ya makumi ya mamilioni ya watu katika Arubaini ya Imam Husseini (as)

    Jumbe za kisiasa za matembezi ya makumi ya mamilioni ya watu katika Arubaini ya Imam Husseini (as)

    Sep 07, 2023 06:29

    Jana tarehe 20 Swafar 1445 Hijiria, sawa na tarehe 6 Septemba 2023 Miladia ilisadifiana na Arubaini ya Imam Hussein (as) mjukuu wa Mtume Mtukufu (saw) aliyeuawa kinyama na maadui wa Uislamu katika jangwa la Karbalaa, akiwa na familia pamoja na wafuasi wake wachache waaminifu. Vile vile ilikuwa siku ya mwisho ya matembezi ya makumi ya mamilioni ya watu katika kuadhimisha Arubaini ya mtukufu huyo (as).

  • Waislamu Nigeria waadhimisha Arubaini ya Imam Hussein AS

    Waislamu Nigeria waadhimisha Arubaini ya Imam Hussein AS

    Sep 06, 2023 10:37

    Waislamu ya madhehebu ya Shia nchini Nigeria wamefanya marasimu, matembezi na vikao vya kuadhimisha Arubaini ya Imam Hussein (AS).

  • Gavana wa Karbala: Mazuwari wa Arubaini mwaka huu kupindukia milioni 30

    Gavana wa Karbala: Mazuwari wa Arubaini mwaka huu kupindukia milioni 30

    Sep 05, 2023 12:18

    Gavana wa jiji la Karbala nchini Iraq amesema mji huo mtakatifu utapokea wafanyaziara zaidi ya milioni 30 katika Arubaini ya Imam Hussein AS mwaka huu.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Uanachama wa Iran katika BRICS utavunja sera za upande mmoja

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Uanachama wa Iran katika BRICS utavunja sera za upande mmoja

    Aug 25, 2023 12:16

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema: Uanachama wa Iran katika kundi la "BRICS" una ufanisi kubwa katika kuvunja za kibeberu za maamuzi ya upande mmoja na pua kuvunja ubabe Marekani katika uga wa kiuchumi.

  • Kanaani: Arubaini ya mwaka huu imeimarisha uhusiano wa Iran na Iraq

    Kanaani: Arubaini ya mwaka huu imeimarisha uhusiano wa Iran na Iraq

    Sep 18, 2022 08:14

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Arubaini ya Imam Hussein (AS) ya mwaka huu imeimarisha uhusiano wa kidugu na kirafiki wa Iran na Iraq.

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Matembezi ya Arubaini ni ishara ya irada ya Mwenyezi Mungu kuinua juu bendera ya Uislamu

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Matembezi ya Arubaini ni ishara ya irada ya Mwenyezi Mungu kuinua juu bendera ya Uislamu

    Sep 17, 2022 12:00

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelitaja tukio la kimiujiza la maandamano na matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein (as) kuwa ni ishara ya irada ya Mwenyezi Mungu ya kunyanyua juu bendera ya Uislamu ya Ahlul Bayt.

  • Mwanachuoni Msuni wa Iraq: Tunaona fakhari kuwa wenyeji wa mazuwari wa Imam Husain

    Mwanachuoni Msuni wa Iraq: Tunaona fakhari kuwa wenyeji wa mazuwari wa Imam Husain

    Sep 17, 2022 01:25

    Mkuu wa Jumuiya ya Ahlu Sunna Waljamaa ya Iraq amesema kuwa, hivi sasa Waislamu wa Iraq wanaonesha kivitendo mfano bora kabisa wa ukarimu kwa kuwahudumia kwa moyo mmoja wafanyaziara wa Imam Husain AS kutoka kila kona ya dunia.

  • Khatibu wa Swala ya Ijumaa: Mkusanyiko wa Arubaini hauna mfano wake duniani

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa: Mkusanyiko wa Arubaini hauna mfano wake duniani

    Sep 02, 2022 12:11

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa hapa Tehran hii leo amesema, Arubaini ya Imam Hussein (AS) ndio mkusanyiko mkubwa zaidi wa wanadamu, na ambao ni wa aina yake na usio na mfano wake duniani.

  • Sheikh Zakzaky: Matembezi ya Arubaini ya Imam Husain AS yataendelea Nigeria

    Sheikh Zakzaky: Matembezi ya Arubaini ya Imam Husain AS yataendelea Nigeria

    Sep 30, 2021 06:28

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesisitiza kuwa, matembezi ya Arubaini ya Imam Husain AS yataendelea kufanyika nchini Nigeria hadi atakapodhihiri Imam wa Zama, Imam Mahdi AS.

  • Al Kadhimi: Arubaini ya Imam Hussein ni kilele cha upinzani dhidi ya ukiukaji wa haki za binadamu

    Al Kadhimi: Arubaini ya Imam Hussein ni kilele cha upinzani dhidi ya ukiukaji wa haki za binadamu

    Sep 28, 2021 03:11

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa shughuli ya siku ya Arubaini ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) ni kilele cha upinzani wa wanadamu dhidi ya ukiukwaji wa haki za binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS