-
Machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini
Jun 23, 2016 03:00Machafuko na ghasia zimeripotiwa kupamba moto katika kipindi hiki cha kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini.
-
Kuendelea maandamano dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya, IEBC
May 24, 2016 06:31Watu watatu waliuawa Jumatatu nchini Kenya katika maandamano yaliyofanyika katika pembe tofauti za nchi hiyo dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC.
-
Bunge la Somalia latakiwa kuidhinisha uchaguzi wa rais
May 22, 2016 11:51Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na nchi wafadhili za Magharibi zimelitaka Bunge la Somalia kuharakisha mchakato wa kufanyika uchaguzi mkuu katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Umoja wa Mataifa waunga mkono uchaguzi wa rais Somalia
May 17, 2016 09:25Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesema linaunga mkono kikamilifu mpango wa kufanyika uchaguzi mkuu nchini Somalia.
-
Mahakama ya Katiba Comoro yaidhinisha ushindi wa Kamanda Azali Assoumani
May 15, 2016 23:08Mahakama ya Katiba nchini Comoro imemtangaza Kamanda Azali Assoumani kuwa mshindi wa duru ya pili ya uchaguzi wa rais katika visiwa hivyo.
-
Baraza la Katiba la Chad laidhinisha matokeo ya uchaguzi wa Rais yaliyomrejesha madarakani Rais Deby
May 03, 2016 23:53Baraza la Katiba la Chad limeidhinisha matokeo ya uchaguzi wa Rais uliofanyika nchini humo Aprili 10 ya mwezi uliopita na kumrejesha tena madarakani Rais Idriss Deby wa nchi hiyo.
-
Uchaguzi wa Rais katika visiwa vya Comoro kurejewa katika baadhi ya maeneo
May 01, 2016 03:11Mahakama ya Katiba katika visiwa vya Comoro imetoa amri ya kurejewa uchaguzi wa Rais katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.
-
Rais wa Equitorial Guinea ahifadhi kiti chake kwa kupata 98% ya kura
Apr 26, 2016 03:53Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Equitorial Guinea yanaonyesha kuwa Rais Teodoro Obiang Nguema ameshinda kiti hicho kwa kupata asilimia 98 ya kura zilizopigwa.
-
Wapinzani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wataka kufanyika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo Novemba mwaka huu
Apr 25, 2016 02:25Wapinzani wa serikali katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wametoa wito wa kufanyika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo Novemba mwaka huu kama ilivyokuwa imepangwa hapo awali.
-
AU: Uchaguzi wa Djibouti ulikuwa huru na wa haki
Apr 11, 2016 03:33Licha ya lalama kutoka vyama vya upinzani, lakini Umoja wa Afrika AU umesema uchaguzi mkuu wa Djibouti wa Ijumaa iliyopita ulikuwa huru na wa haki.