Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Rais wa Kenya akiri hadharani: Vyombo vya usalama vimejichukulia mamlaka kinyume cha sheria

    Rais wa Kenya akiri hadharani: Vyombo vya usalama vimejichukulia mamlaka kinyume cha sheria

    Jan 02, 2025 06:48

    Rais William Ruto wa Kenya kwa mara ya kwanza amekiri hadharani matumizi mabaya ya mamlaka yanayofanywa na vikosi vya usalama, kufuatia wimbi la utekaji nyara wenye utata ambao umezua maandamano makubwa ya upinzani nchini humo.

  • Rais wa Ufaransa akiri, Afrika imebadilika

    Rais wa Ufaransa akiri, Afrika imebadilika

    Dec 22, 2024 12:18

    Wakati Ufaransa imepoteza kambi zake nyingi za kijeshi barani Afrika, sasa rais wa nchi hiyo, Emmanuel Macron, katika safari ya kimyakimya kwenye kituo cha mwisho cha operesheni za nchi hiyo huko Djibouti, amekiri kwamba: Afrika inabadilika kwa sababu maoni ya umma na Serikali yamo katika hali ya kubadilika, hivyo nafasi yetu barani Afrika pia itabadilika.

  • Wananchi wa Mauritania waandamana kulaani jinai za Israel

    Wananchi wa Mauritania waandamana kulaani jinai za Israel

    Dec 08, 2024 02:30

    Wananchi wa Mauritania wameandamana na kulaani vikali mashambulio ya utawala haramu za Israel na jinai zake dhidi ya wananchi wa Ukanda wa Gaza.

  • Watu karibu 100 wamepoteza maisha katika ghasia kubwa wakati wa mechi ya soka huko Guinea Conakry

    Watu karibu 100 wamepoteza maisha katika ghasia kubwa wakati wa mechi ya soka huko Guinea Conakry

    Dec 02, 2024 12:06

    Ripoti zinasema kuwa vurugu zilitokeka jana wakati wa mechi kati ya timu ya soka ya Labe na Nzerekore huko Nzerekore, jiji la pili kwa ukubwa huko Guinea magharibi mwa Afrika.

  • Zaidi ya mawaziri 40 wa Afrika wakutana nchini Russia

    Zaidi ya mawaziri 40 wa Afrika wakutana nchini Russia

    Nov 09, 2024 10:38

    Mkutano wa kwanza wa Mawaziri wa Jukwaa la Ushirikiano wa Russia na Afrika umeanza leo katika mji wa pwani wa Sochi, kusini mwa Russia; kuashiria muundo mpya wa kawaida wa mazungumzo kufuatia mikutano ya kilele kati ya pande mbili hizo.

  • Chad yakanusha kuwaua raia katika mashambulizi ya anga dhidi ya wanamgambo

    Chad yakanusha kuwaua raia katika mashambulizi ya anga dhidi ya wanamgambo

    Nov 03, 2024 03:10

    Serikali ya Chad imekanusha vikali ripoti kwamba jeshi lake liliwashambulia raia katika operesheni dhidi ya wanamgambo wanaobeba silaha.

  • UPSR: Afrika inajua kuwa BRICS imebadilisha mlingano wa jiopolitiki duniani

    UPSR: Afrika inajua kuwa BRICS imebadilisha mlingano wa jiopolitiki duniani

    Oct 24, 2024 02:19

    Kiongozi mwandamizi wa chama kimoja cha upinzani nchini Cameroon amesema jumuiya ya BRICS ni mbadala halisi wa kuleta mlingano kwenye jiopolitiki duniani na kusisitiza kwamba, nchi za Afrika zinaelewa fika suala hili.

  • Mamilioni ya Waafrika kuwa masikini kwa sababu ya mgogoro wa mabadiliko ya tabianchi

    Mamilioni ya Waafrika kuwa masikini kwa sababu ya mgogoro wa mabadiliko ya tabianchi

    Oct 23, 2024 02:25

    Wataalamu wa mabadiliko ya tabia nchi wametahadharisha kuwa mgogoro wa hali ya hewa Afrika utawaelekeza katika umaskini watu wengine zaidi milioni 150 ifikapo mwaka 2050.

  • Guterres: Hatua madhubuti zichukuliwe kushughulikia migogoro na umaskini Afrika

    Guterres: Hatua madhubuti zichukuliwe kushughulikia migogoro na umaskini Afrika

    Oct 22, 2024 15:15

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa hatua madhubuti zinapasa kuchukuliwa ili kushughulikia mabadiliko ya tabianchi, migogoro na umaskini barani Afrika.

  • Ramaphosa aitolea wito BRICS kuwekeza pakubwa barani Afrika

    Ramaphosa aitolea wito BRICS kuwekeza pakubwa barani Afrika

    Oct 21, 2024 12:05

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amelitolea wito kundi la BRICS kuwekeza katika maendeleo ya bara la Afrika kwa kuzingatia uwezo wa bara hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS