Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Mawaziri wa Ulaya na Afrika wakutana Roma kujadili mgogoro wa wahajiri

    Mawaziri wa Ulaya na Afrika wakutana Roma kujadili mgogoro wa wahajiri

    Jul 06, 2017 09:30

    Kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje na wa Masuala ya Wahajiri wa nchi za Ulaya na Afrika kimefanyika Roma mji mkuu wa Italia kujadili njia ya kupambamba na mgogoro wa sasa wa wahajiri katika bahari ya Mediterania.

  • UNICEF: Zaidi ya nusu ya wakimbizi barani Afrika ni watoto wadogo

    UNICEF: Zaidi ya nusu ya wakimbizi barani Afrika ni watoto wadogo

    Jul 05, 2017 03:44

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umesema kuwa, zaidi yawatoto milioni saba wa maeneo ya magharibi na katikati mwa Afrika wanaishi katika mazingira magumu kutokana na matatizo mbalimbali kama vile ukatili, umaskini na kuharibika hali ya hewa na kwamba idadi hiyo inaunda zaidi ya nusu ya wakimbizi barani Afrika.

  • Algeria: Waafrika elfu tano wamejiunga na makundi ya kigaidi

    Algeria: Waafrika elfu tano wamejiunga na makundi ya kigaidi

    Jul 04, 2017 08:13

    Rais wa Algeria ametahadharisha kuhusu hatari ya vijana elfu tano wa Afrika waliojiunga na mkundi ya kigaidi.

  • AU yataka kupewa nafasi zaidi katika Baraza la Usalama

    AU yataka kupewa nafasi zaidi katika Baraza la Usalama

    Jul 03, 2017 08:32

    Naibu Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika amezitaka nchi za bara hilo kuungana kwa ajili ya kuinua juu nafasi na hadhi ya Afrika na kuimarisha uwakilishi wake katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Maelfu ya wapiganaji wa Kiafrika wapo Libya

    Maelfu ya wapiganaji wa Kiafrika wapo Libya

    Jun 28, 2017 23:42

    Taasisi ya Kuchunguza Silaha Nyepesi yenye makao yake mjini Geneva Uswisi imesisitiza kuwa maelfu ya wapiganaji wa Kiafrika wanapigana bega kwa bega na makundi mbalimbali yenye silaha nchini Libya.

  • WFP yaomba msaada kuokoa maisha ya maelfu ya watoto Afrika, Yemen

    WFP yaomba msaada kuokoa maisha ya maelfu ya watoto Afrika, Yemen

    Jun 27, 2017 02:57

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula Duniani WFP limetoa wito wa msaada wa Umoja wa Ulaya ili kuokoa maisha ya mamia ya maelfu ya watoto wa Afrika na Yemen wanaokabliwa na baa la njaa.

  • Chad: Ikiwa hatutapewa msaada wa fedha, tutajiondoa operesheni za kijeshi Afrika

    Chad: Ikiwa hatutapewa msaada wa fedha, tutajiondoa operesheni za kijeshi Afrika

    Jun 25, 2017 23:23

    Rais Idriss Déby wa Chad amesema kuwa, ikiwa nchi hiyo itaendelea kunyimwa pesa za msaada kwa ajili ya kutatua matatizo yake ya kiuchumi na kijamii, basi nayo itajiondoa kushiriki operesheni za kijeshi katika mataifa ya Afrika.

  • Iran kuendelea kuimarisha uhusiano wake na nchi za Afrika

    Iran kuendelea kuimarisha uhusiano wake na nchi za Afrika

    Jun 21, 2017 03:00

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesisitiza kuwa, ni katika sera zilizo madhubuti za nchi hii kuimarisha uhusiano wake na nchi za Afrika.

  • Rais Salva Kiir akosa kuhudhuria mkutano wa IGAD kuhusu nchi yake

    Rais Salva Kiir akosa kuhudhuria mkutano wa IGAD kuhusu nchi yake

    Jun 12, 2017 09:28

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amekosa kuhudhuria mkutano wa Jumuiya ya Kieneo ya Nchi za Afrika Mashariki (IGAD) unaofanyika katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa unajadili mgogoro wa wakimbizi katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Saudia yaendelea kuzishawishi nchi mbalimbali kukata mahusiano yao na Qatar, mara hii ni Afrika

    Saudia yaendelea kuzishawishi nchi mbalimbali kukata mahusiano yao na Qatar, mara hii ni Afrika

    Jun 08, 2017 10:59

    Hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu zikiongozwa na Saudia ya katika kukata uhusiano na Qatar imezidi kuwa kubwa huku Riyadh ikiendelea kuzishawishi nchi za Kiafrika kujiunga nayo katika hatua hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS