Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • AU, UN zataka kupunguzwa askari wa kulinda amani Darfur, Sudan

    AU, UN zataka kupunguzwa askari wa kulinda amani Darfur, Sudan

    Jun 07, 2017 03:03

    Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimependekeza kupunguzwa idadi ya askari wanaohudumu kwenye Kikosi cha pamoja cha AU na UN huko Darfur, nchini Sudan UNAMID.

  • Uchunguzi wa kielimu waonyesha uzalishaji elimu barani Afrika uko chini sana

    Uchunguzi wa kielimu waonyesha uzalishaji elimu barani Afrika uko chini sana

    Jun 05, 2017 22:52

    Uchunguzi mpya uliofanywa na jopo la wahadhiri nchini Ufaransa, umebaini kuwa uzalishaji elimu katika mataifa ya Kiafrika uko katika kiwango cha chini ikilinganishwa na maeneo mengine ya dunia.

  • Mtazamo wa Umoja wa Ulaya kwa ajili ya kuimarisha ushirikiano na bara la Afrika

    Mtazamo wa Umoja wa Ulaya kwa ajili ya kuimarisha ushirikiano na bara la Afrika

    Jun 05, 2017 22:42

    Akizungumza hivi karibuni katika kikao cha 51 cha Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika ECOWAS huko Monrovia mji mkuu wa Liberia, Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, amesema kuwa ushirikiano wa umoja huo na bara la Afrika una umuhimu mkubwa kwa ajili ya kudhamini amani na usalama barani humo.

  • Umoja wa Afrika: Waafrika wahitimishe utegemezi wao kwa Magharibi

    Umoja wa Afrika: Waafrika wahitimishe utegemezi wao kwa Magharibi

    Jun 03, 2017 22:49

    Rais wa Guinea ambaye pia ndiye Mwenyekiti wa Kiduru wa Umoja wa Afrika amesema kuwa, bara la Afrika linapaswa kuhitimisha utegemezi wake kwa madola ya Magharibi.

  • Watu 20 wafariki katika ajali ya barabarani mashariki mwa Zambia

    Watu 20 wafariki katika ajali ya barabarani mashariki mwa Zambia

    May 24, 2017 09:36

    Watu 20 wamefariki dunia na wengine 48 kujeruhiwa wakati basi lililokuwa likitokea kwenye mji mkuu wa Zambia, Lusaka, kupoteza mwelekeo na kupinduka.

  • UNICEF: Watoto laki 3 wakimbia nchi zao bila usimamizi wa yeyote

    UNICEF: Watoto laki 3 wakimbia nchi zao bila usimamizi wa yeyote

    May 19, 2017 02:55

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema watoto zaidi ya laki tatu kote duniani aghalabu yao wakitokea nchi za Afrika wamelazika kuwa wakimbizi na wahajiri pasina usimamizi wa mtu yeyote katika muda wa miaka miwili iliyopita.

  • UNICEF yatoa indhari ya watoto kubaki bila ya walezi Magharibi mwa Afrika

    UNICEF yatoa indhari ya watoto kubaki bila ya walezi Magharibi mwa Afrika

    May 18, 2017 10:34

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kushughulikia Watoto UNICEF umetangaza kuwa kati ya kila watoto watano, mmoja amepoteza wazazi wake wote wawili kutokana na ugonjwa wa Ukimwi magharibi mwa Afrika.

  • UNICEF: Maradhi ya ukimwi yangali ni tishio duniani

    UNICEF: Maradhi ya ukimwi yangali ni tishio duniani

    May 07, 2017 08:56

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetangaza kuwa, bado maradhi ya ukimwi yangali ni tishio ulimwenguni.

  • Nchi za magharibi mwa Afrika zakutana na kujadili namna ya kupambana na ugaidi

    Nchi za magharibi mwa Afrika zakutana na kujadili namna ya kupambana na ugaidi

    Apr 27, 2017 23:14

    Watalaamu kutoka nchi 10 za magharibi mwa Afrika wamekutana katika mji mkuu wa Togo, Lome na kujadili namna ya kupambana na tatizo la ugaidi pamoja na njia za kuboresha usalama na amani katika ndege za abiria.

  • Baadhi ya marais wa Afrika hawataki Machar arejee Sudan Kusini

    Baadhi ya marais wa Afrika hawataki Machar arejee Sudan Kusini

    Apr 27, 2017 03:32

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa amesema baadhi ya nchi za kanda ya Afrika Mashariki pamoja na Afrika Kusini haziungi mkono wazo la kurejea mjini Juba, kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini, Riek Machar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS