Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Darul Iftaa ya Misri: Magharibi ni waungaji mkono wakuu wa ugaidi barani Afrika

    Darul Iftaa ya Misri: Magharibi ni waungaji mkono wakuu wa ugaidi barani Afrika

    Mar 16, 2017 11:24

    Darul Iftaa ya Misri imetangaza kuwa, nchi za Magharibi ni waungaji mkono wakuu wa makundi ya kigaidi barani Afrika na kwamba nchi hizo zinapaswa kulazimishwa kuacha kuyaunga mkono makundi ya kigaidi.

  • Ukame na njaa vyaendelea kuua watu barani Afrika

    Ukame na njaa vyaendelea kuua watu barani Afrika

    Mar 07, 2017 01:00

    Wimbi la vifo vinavyotokana na ukame na njaa limezikumba nchi kadhaa za Afrika hususan mashariki mwa bara hilo.

  • Safari ya ujumbe wa Baraza la Usalama Barani Afrika

    Safari ya ujumbe wa Baraza la Usalama Barani Afrika

    Mar 06, 2017 10:27

    Wanachama 15 wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wameanza safari ya kuzitembelea nchi nne za eneo la Ziwa Chad. Safari hiyo inafanyika huku eneo hilo likisumbuliwa na changamoto kubwa ya ugaidi na tatizo la wimbi kubwa la wakimbizi.

  • FAO: Maeneo ya Mashariki mwa Afrika yataendelea kukabiliwa na hali mbaya ya chakula

    FAO: Maeneo ya Mashariki mwa Afrika yataendelea kukabiliwa na hali mbaya ya chakula

    Mar 03, 2017 00:37

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetahadharisha kuwa, ukame na vita vitaifanya hali ya chakula kuwa mbaya sana barani Afrika hususan baadhi ya maeneo ya mashariki mwa bara hilo.

  • Tuzo ya kifahari ya Mo Ibrahim yakosa mshindi tena

    Tuzo ya kifahari ya Mo Ibrahim yakosa mshindi tena

    Mar 01, 2017 12:37

    Kama ilivyokuwa mwaka juzi, tuzo ya kifahari ya Mo Ibrahim mwaka jana 2016 pia imekosa mshindi.

  • UN: Kuna njaa kubwa Afrika na Yemen

    UN: Kuna njaa kubwa Afrika na Yemen

    Feb 23, 2017 03:41

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema baa la njaa limeenea katika nchi kadhaa za Afrika na Yemen huku akisema hali ya Sudan Kusini ni mbaya sana

  • Amnesty  yakosoa ukiukwaji haki za binadamu Afrika Mashariki

    Amnesty yakosoa ukiukwaji haki za binadamu Afrika Mashariki

    Feb 23, 2017 03:00

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa ukiukwaji wa haki za binadmau barani Afrika.

  • Hali mbaya ya wakimbizi katika bara la Afrika

    Hali mbaya ya wakimbizi katika bara la Afrika

    Feb 22, 2017 00:36

    Hali ya maisha katika akthari ya nchi za Kiafrika, imesababisha kuongezeka idadi ya wakimbizi katika bara la Afrika. Hii ni katika hali ambayo, Mpango wa Chakula Duniani (WPF) umetahadharisha kuhusu matatizo ya chakula kwa wakimbizi wa bara hilo.

  • Familia: Yumkini Mzee Tshisekedi aliuawa

    Familia: Yumkini Mzee Tshisekedi aliuawa

    Feb 14, 2017 13:48

    Familia ya Tshisekedi yadai kuwa huenda mwanasiasa huyo mkongwe aliuawa.....

  • Morocco yasema haitaitambua Sahara Magharibi licha ya kurejea AU

    Morocco yasema haitaitambua Sahara Magharibi licha ya kurejea AU

    Feb 06, 2017 04:10

    Serikali ya Rabat imesema katu haitatambua uhuru wa Jamhuri ya Sahara Magharibi licha ya Morocco kukubaliwa kurejea katika Umoja wa Afrika AU baada ya kuondoka zaidi ya miongo mitatu iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS