Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Nchi za magharibi mwa Afrika zakutana na kujadili namna ya kupambana na ugaidi

    Nchi za magharibi mwa Afrika zakutana na kujadili namna ya kupambana na ugaidi

    Apr 27, 2017 23:14

    Watalaamu kutoka nchi 10 za magharibi mwa Afrika wamekutana katika mji mkuu wa Togo, Lome na kujadili namna ya kupambana na tatizo la ugaidi pamoja na njia za kuboresha usalama na amani katika ndege za abiria.

  • Baadhi ya marais wa Afrika hawataki Machar arejee Sudan Kusini

    Baadhi ya marais wa Afrika hawataki Machar arejee Sudan Kusini

    Apr 27, 2017 03:32

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa amesema baadhi ya nchi za kanda ya Afrika Mashariki pamoja na Afrika Kusini haziungi mkono wazo la kurejea mjini Juba, kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini, Riek Machar.

  • Mahakama ya Zambia yaamua kesi ya uhaini dhidi ya kiongozi wa upinzani iendelee

    Mahakama ya Zambia yaamua kesi ya uhaini dhidi ya kiongozi wa upinzani iendelee

    Apr 26, 2017 08:38

    Mahakama ya Zambia imeamua kuwa kesi ya uhaini inayomkablia kiongozi wa upinzani Hakainde Hichilema iendelee huku malumbano ya kisiasa yakitokota katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Chanjo ya kwanza ya kinga ya homa ya Malaria kufanyiwa majaribio barani Afrika

    Chanjo ya kwanza ya kinga ya homa ya Malaria kufanyiwa majaribio barani Afrika

    Apr 24, 2017 10:36

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza leo kuwa chanjo ya kwanza ya kinga ya ugonjwa hatari wa homa ya malaria itafanyiwa majaribio katika bara la Afrika.

  • Kuanza maneva ya

    Kuanza maneva ya "Simba wa Afrika" nchini Morocco

    Apr 22, 2017 07:23

    Maneva ya kijeshi yaliyopewa jina la "Simba wa Afrika" yameanza katika nchi ya Kiafrika ya Morocco yakishirikisha askari wa Jeshi la Majini la Marekani na wanajeshi 1300 kutoka nchi nyinginen 11.

  • Benki ya Dunia ina matumaini na ustawi wa kiuchumi Afrika

    Benki ya Dunia ina matumaini na ustawi wa kiuchumi Afrika

    Apr 21, 2017 02:12

    Benki ya dunia inasema kasi ya ukuaji wa uchumi barani Afrika inaridhisha mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana ambapo uchumi wa bara hilo uliporomoka kwa kiwango kikubwa zaidi katika kipindi cha miongo miwili.

  • SAUTI: Vijana Rwanda watakiwa kujihadhari na ukoloni mamboleo

    SAUTI: Vijana Rwanda watakiwa kujihadhari na ukoloni mamboleo

    Apr 16, 2017 03:12

    Serikali ya Rwanda imewataka raia wake hasa vijana kutambua hila na njama za ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za kigeni hasa zile za Magharibi. Kwa upande wa vijana wakati huu ni ule wa kuzipenda nchi zao za Kiafrika na kuepuka kufikiria nchi zilizoendelea. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi.

  • Uchumi wa nchi za kusini mwa Sahara waitia wasi wasi Côte d’Ivoire

    Uchumi wa nchi za kusini mwa Sahara waitia wasi wasi Côte d’Ivoire

    Apr 06, 2017 03:07

    Serikali ya Côte d’Ivoire imeoyesha wasi wasi juu ya mwendelezo wa kushuka kiwango cha uchumi wa nchi za kusini mwa Sahara, barani Afrika.

  • Kupambana na ugaidi, lengo la kongamano la usalama barani Afrika

    Kupambana na ugaidi, lengo la kongamano la usalama barani Afrika

    Apr 04, 2017 08:05

    Viongozi wa masuala ya intelijensia na usalama kutoka nchi 30 za Kiafrika wanakutana mjini Khartoum, Sudan katika kikao cha siku tatu kwa lengo la kuchunguza mikakati ya kupambana na vitisho vipya na ongezeko la ugaidi barani humo.

  • US$ Milioni 255 zahitajika kuwasaidia watoto kukabiliana na njaa Afrika, Yemen

    US$ Milioni 255 zahitajika kuwasaidia watoto kukabiliana na njaa Afrika, Yemen

    Mar 30, 2017 02:12

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limesema, watoto takriban milioni 1.4 nchini Nigeria, Somalia, Sudan Kusini na Yemen wako katika hatari ya kukabiliwa na njaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS