• Waafrika Kusini wamjia juu Trump kwa kuongopa kwenye kikao na Ramaphosa

    Waafrika Kusini wamjia juu Trump kwa kuongopa kwenye kikao na Ramaphosa

    May 23, 2025 11:55

    Wananchi wa Afrika Kusini wameeleza kughadhabishwa na madai ya uwongo yaliyobuliwa na Rais wa Marekani Donald Trump wakati wa mazungumzo yake na Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini katika Ikulu ya White House.

  • Je, kwa nini Trump amenyamazia kimya mauaji ya kimbari huko Gaza, huku akidai yametokea Afrika Kusini?

    Je, kwa nini Trump amenyamazia kimya mauaji ya kimbari huko Gaza, huku akidai yametokea Afrika Kusini?

    May 23, 2025 05:57

    Akizungumza siku ya Jumatano katika kikao chenye mvutano na Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, Rais Donald Trump wa Marekani alichukua hatua ya kushanga kwa kumuonyesha video ya kiongozi mmoja wa mrengo wa kulia wa Afrika Kusini aliyetoa wito wa kuuawa wakulima weupe ili kuthibitisha madai yake kuhusu kile kinachodaiwa kuwa mauaji ya kimbari dhidi ya wazungu wa nchi hiyo.

  • Kutoweza Afrika Kusini kuachana na Muqawama na ukombozi wa Palestina

    Kutoweza Afrika Kusini kuachana na Muqawama na ukombozi wa Palestina

    Apr 25, 2025 07:17

    Tarehe 29 Disemba 2023 imerekodiwa katika kumbukumbu za historia ya baada ya mwaka 1994 ya Afrika Kusini kama siku muhimu sana baada ya Pretoria kufungua kesi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mahakama ya ICJ, ikiwasilisha hoja za kisheria za kina na zenye mashiko kwamba ukatili wa Israel katika Ukanda wa Ghaza unakanyaga Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia Mauaji ya Kimbari.

  • Pandor ahimiza mageuzi ya kimataifa kutekeleza uamuzi wa ICJ kuhusu Gaza

    Pandor ahimiza mageuzi ya kimataifa kutekeleza uamuzi wa ICJ kuhusu Gaza

    Apr 23, 2025 02:12

    Naledi Pandor Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesema kuwa kushindwa kusitishwa mashambulizi na mauaji ya kimbari ya Israel katika Ukanda wa Gaza kumefichua mapungufu ya mifumo ya kisheria ya kimataifa na kuibua upya wito kuhusu udharura wa kufanyika mageuzi katika Umoja wa Mataifa.

  • A/Kusini: Russia ni mshirika wetu mkuu katika sekta ya anga za mbali

    A/Kusini: Russia ni mshirika wetu mkuu katika sekta ya anga za mbali

    Apr 15, 2025 03:14

    Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Kitaifa la Anga za Mbali la Afrika Kusini (SANSA) amesema Russia ni mshirika mkuu wa Afrika Kusini katika kuendeleza mipango yake ya kitaifa ya anga za juu.

  • Marekani yamfukuza Balozi wa Afrika Kusini kwa 'kujieleza'

    Marekani yamfukuza Balozi wa Afrika Kusini kwa 'kujieleza'

    Mar 15, 2025 07:11

    Msuguano baina ya Marekani na Afrika Kusini umeendelea kutokota, baada ya Washington kumtangaza Balozi wa nchi hiyo ya Kiafrika mjini Washington, Ebrahim Rasool, kuwa mtu asiyetakiwa, kufuatia matamshi yake ya kumkosoa Rais Donald Trump.

  • Je, Afrika Kusini itasalimu amri mbele ya ubabe wa Trump?

    Je, Afrika Kusini itasalimu amri mbele ya ubabe wa Trump?

    Mar 11, 2025 08:03

    Kwa kuendelea msimamo wa kuingilia kati wa Rais Donald Trump wa Marekani katika masuala ya ndani ya Afrika Kusini, serikali ya Pretoria imetangaza kuwa haitajiingiza katika diplomasia isiyo na tija ya "kupiga kelele kupitia vipaza sauti" na Marekani.

  • Afrika Kusini yapinga 'diplomasia ya kipaza sauti' na ya kibabe ya Trump

    Afrika Kusini yapinga 'diplomasia ya kipaza sauti' na ya kibabe ya Trump

    Mar 10, 2025 07:01

    Huku Rais wa Marekani, Donald Trump, akiendelea kuingilia masuala ya ndani ya Afrika Kusini, serikali ya Pretoria imetangaza kwamba haitajihusisha na diplomasia isiyojenga ya "ya kipaza sauti" na ya bwabwaja ya Marekani.

  • Kuendelea hatua za kimataifa dhidi ya uvamizi wa Israel

    Kuendelea hatua za kimataifa dhidi ya uvamizi wa Israel

    Mar 03, 2025 02:22

    Katika kuendeleza mapambano na kupinga jinai za Israel dhidi ya Wapalestina, viongozi wa Afrika Kusini, Malaysia na Colombia wametangaza kuwa watazizuia meli zilizobeba silaha kwa ajili ya Israel kuingia katika bandari za nchi hizo.

  • Operesheni ya Jeshi la Somalia yaua magaidi 70 wa Al-Shabaab katika jimbo la Hirshabelle

    Operesheni ya Jeshi la Somalia yaua magaidi 70 wa Al-Shabaab katika jimbo la Hirshabelle

    Feb 26, 2025 11:42

    Wizara ya Habari ya Somalia imetangaza kuwa vikosi vya jeshi vikishirikiana na vikosi vingine vya ndani vimewaua wanamgambo wapatao 70 wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab katika operesheni ya mashambulizi viliyotekeleza jana Jumanne katika maeneo kadhaa ya jimbo la Hirshabelle kusini mwa katikati ya nchi hiyo.