Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Afrika Kusini: Usitishaji vita Gaza sharti ulete amani ya kudumu

    Afrika Kusini: Usitishaji vita Gaza sharti ulete amani ya kudumu

    Feb 21, 2025 02:50

    Rais wa Afrika Kusini amesema usitishaji wa mapigano katika Ukanda wa Gaza unapasa kuleta uadilifu na amani ya kudumu katika eneo hilo.

  • Afrika Kusini kugeukia Russia, Iran kwenye mradi wake wa nyuklia?

    Afrika Kusini kugeukia Russia, Iran kwenye mradi wake wa nyuklia?

    Feb 18, 2025 07:32

    Afrika Kusini imesema huenda itashirikiana na Russia au Iran katika juhudi za kupanua uwezo wake wa nishati ya nyuklia.

  • Iran yapongeza hatua ya Afrika Kusini ya kuishtaki Israel ICJ

    Iran yapongeza hatua ya Afrika Kusini ya kuishtaki Israel ICJ

    Feb 14, 2025 02:33

    Mansour Shakib Mehr, balozi wa Iran nchini Afrika Kusini amepongeza hatua ya serikali ya Pretoria ya kuwasilisha mashtaka dhidi ya utawala haramu wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kutokana na jinai za utawala huo ghasibu huko Gaza.

  • Afrika Kusini: Katu hatutaondoa kesi dhidi ya Israel ICJ licha ya vitisho vya Trump

    Afrika Kusini: Katu hatutaondoa kesi dhidi ya Israel ICJ licha ya vitisho vya Trump

    Feb 13, 2025 02:53

    Afrika Kusini imeapa kutoondoa kesi yake ya mauaji ya kimbari dhidi ya Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), licha ya vitisho, mashinikizo na kukatiwa misaada na utawala wa Donald Trump.

  • Waafrika Kusini 'weupe' wakataa 'ofa' ya kuwa wakimbizi Marekani

    Waafrika Kusini 'weupe' wakataa 'ofa' ya kuwa wakimbizi Marekani

    Feb 09, 2025 07:12

    Raia wa Afrika Kusini wenye asili ya Uholanzi na nchi nyingine za Ulaya wamepuuzilia mbali mwito wa Rais Donald Trump, wa kwenda kuwa wakimbizi nchini Marekani, kwa madai ya kubaguliwa nchini Afrika Kusini.

  • Afrika Kusini: Tunaendelea kushikamana na wananchi wa Palestina

    Afrika Kusini: Tunaendelea kushikamana na wananchi wa Palestina

    Feb 08, 2025 07:55

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesisitiza kuwa nchi hiyo itaendelea kushikakama na kuwa pamoja na wananchi wa Palestina.

  • Afrika Kusini: Hatutakubali kuburuzwa na Marekani

    Afrika Kusini: Hatutakubali kuburuzwa na Marekani

    Feb 07, 2025 07:55

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesisitiza kuwa, taifa hilo halitakubali kuburuzwa na kushinikizwa na maajinabi.

  • Kwa nini Afrika Kusini inataka Marekani iwekewe vikwazo

    Kwa nini Afrika Kusini inataka Marekani iwekewe vikwazo

    Feb 06, 2025 02:31

    Waziri wa Madini na Rasilimali za Petroli wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe ametoa wito kwa nchi za Afrika kusimamisha mauzo ya madini kwenda Marekani.

  • "Mapinduzi ya Kiislamu yaliathiri mapambano ya Afrika Kusini dhidi ya apartheid"

    Feb 05, 2025 12:18

    Mwanahabari mkongwe mjini Cape Town, Farid Sayed amesema Mapinduzi ya Kiislamu na kuasisiwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kulikuwa na athari kubwa kwa mapambano ya Afrika Kusini dhidi ya mfumo wa ubaguzi wa rangi wa apartheid.

  • Afrika Kusini yamuonya Trump; Tutasitisha mauzo ya madini kwa Marekani

    Afrika Kusini yamuonya Trump; Tutasitisha mauzo ya madini kwa Marekani

    Feb 05, 2025 02:41

    Waziri wa Madini na Rasilimali za Petroli wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe ametoa wito kwa nchi za Afrika kusimamisha mauzo ya madini kwenda Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS