Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Afrika Kusini yatangaza ukame kuwa janga la kitaifa

    Afrika Kusini yatangaza ukame kuwa janga la kitaifa

    Feb 13, 2018 23:23

    Afrika Kusini imetangaza ukame unaoikumba nchi hiyo kuwa janga la kitaifa kutokana na hali mbaya inayoikumba nchi hiyo baada ya mvua kukosa kunyesha ipasavyo kwa muda wa miaka mitatu mfululizo.

  • Chama tawala Afrika Kusini chamwamuru Rais Zuma aachie madaraka; atatangaza msimamo wake kesho

    Chama tawala Afrika Kusini chamwamuru Rais Zuma aachie madaraka; atatangaza msimamo wake kesho

    Feb 13, 2018 13:19

    Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kimemwamuru Rais wa nchi hiyo Jacob Zuma ajiuzulu kama kiongozi wa nchi, baada ya mazungumzo marefu ya kuamua hatima ya kiongozi huyo ambaye kipindi cha uongozi wake kilichogubikwa na kashfa za ufisadi kimelitia doa na kuligawa taifa hilo katika enzi za baada ya utawala wa ubaguzi wa rangi wa Apatheidi.

  • Kupatiwa Rais Zuma wa Afrika Kusini masaa 48 ya kujiuzulu

    Kupatiwa Rais Zuma wa Afrika Kusini masaa 48 ya kujiuzulu

    Feb 13, 2018 09:38

    Kufuatia kushtadi mgogoro nchini Afrika Kusini, chama tawala cha cha ANC kimempatia Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo masaa 48 ili ajiuzulu au ajiandae kuachia ngazi.

  • Afrika Kusini yachunguza ukandamizaji wa askari wake DRC

    Afrika Kusini yachunguza ukandamizaji wa askari wake DRC

    Feb 13, 2018 04:48

    Jeshi la Afrika Kusini limeanzisha uchunguzi kuhusu madai ya ukandamizaji na ukiukaji wa haki za binadamu uliofanywa na askari wake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Thamani ya sarafu ya Afrika Kusini yaporomoka, ANC kumuondoa Zuma ofisini kwa nguvu

    Thamani ya sarafu ya Afrika Kusini yaporomoka, ANC kumuondoa Zuma ofisini kwa nguvu

    Feb 13, 2018 04:35

    Thamani ya sarafu ya Afrika Kusini (rand) imeporomoka baada ya chama tawala nchini humo ANC kutishia kuwa kitamuondoa ofisini kwa nguvu Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.

  • Rais Zuma wa Afrika Kusini apewa masaa 48 ajiuzulu

    Rais Zuma wa Afrika Kusini apewa masaa 48 ajiuzulu

    Feb 12, 2018 23:40

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amepewa masaa 48 awe ameachia ngazi, baada ya kufanyika mkutano wa dharura wa chama tawala ANC.

  • Ramaphosa aahidi kutomvumilia fisadi yoyote Afrika Kusini

    Ramaphosa aahidi kutomvumilia fisadi yoyote Afrika Kusini

    Feb 12, 2018 04:13

    Mwenyekiti Taifa wa chama tawala cha ANC cha Afrika Kusini ameahidi kupambana vikali na mafisadi na kutomvumilia mbadhirifu yeyote wa mali ya umma.

  • Mazungumzo kuhusu hatima ya Rais Zuma yanaendelea nchini Afrika Kusini

    Mazungumzo kuhusu hatima ya Rais Zuma yanaendelea nchini Afrika Kusini

    Feb 11, 2018 11:37

    Mazungumzo kuhusu hatima ya Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini yanaendelea huku duru za karibu na mazungumzo hayo zikisema kwamba, kuna masuala mbalimbali yanayojadiliwa katika mazungumzo hayo lakini ajenda kuu ni kuhusu suala la kujiuzulu Zuma.

  • Mwenyekiti wa ANC akanusha uvumi wa kupatiwa Rais Zuma kinga ya kutoshtakiwa

    Mwenyekiti wa ANC akanusha uvumi wa kupatiwa Rais Zuma kinga ya kutoshtakiwa

    Feb 10, 2018 04:21

    Mwenyekiti wa Chama tawala nchini Afrika Kusini cha ANC amekanusha taarifa za kupatiwa kinga ya kutoshtakiwa Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.

  • ANC: Hatima ya Jacob Zuma itajulikana siku chache zijazo

    ANC: Hatima ya Jacob Zuma itajulikana siku chache zijazo

    Feb 08, 2018 03:45

    Mwenyekiti Taifa wa chama tawala cha ANC cha Afrika Kusini amesema kuwa, hatima ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo itajulikana siku chache zijazo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS