-
Grace Mugabe apewa kinga ya kidiplomasia ya kuondoka Afrika Kusini
Aug 20, 2017 03:28Mke wa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe, Grace Mugabe ambaye anakabiliwa na kesi ya kumpiga na kumjeruhi mwanamitindo wa Afrika Kusini amepewa kinga ya kidiplomasia.
-
Afrika Kusini yasusia kongamno la Kiafrika na utawala haramu wa Kizayuni
Aug 12, 2017 08:41Balozi wa Afrika Kusini nchini Lebanon ametangaza kuwa nchi yake imesusia kongamano la viongozi wa Kiafrika na utawala Kizayuni wa lsrael.
-
ANC yapinga wito wa kuvunjwa Bunge Afrika Kusini
Aug 11, 2017 11:23Chama tawala nchini Afrika Kusini cha African National Congress (ANC) kimepinga wito wa kuvunjwa Bunge la nchi hiyo.
-
Rais Zuma wa Afrika Kusini anusurika na shoka la Bunge kwa mara ya 7
Aug 09, 2017 02:34Kwa mara nyingine tena Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amenusurika kuenguliwa madarakani baada ya kupataka uungaji mkono hafifu wa chama tawala ANC katika kura ya kutokuwa na imani naye Bungeni.
-
ANC yapinga safari ya ujumbe wa Israel Afrika Kusini
Aug 07, 2017 22:34Msemaji wa chama tawala nchini Afrika Kusini cha ANC amesema kuwa, chama hicho hakitakutana na ujumbe wa Israel utakaotembelea nchi hiyo mwezi huu wa Agosti kutokana na uhalifu na jinai zinazofanywa na utawala huo dhidi ya watu wa Palestina.
-
Ghasia zapamba moto Afrika Kusini kabla ya kujadiliwa suala la kumsaili Rais Zuma
Aug 07, 2017 12:09Machafuko ya kisiasa yanaripotiwa kupamba moto nchini Afrika Kusini kabla ya zoezi la kuchunguzwa kadhia ya kumsaili Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.
-
Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati na UN watuhumiwa kuwa chanzo cha kushadidi mgogoro nchini humo
Aug 06, 2017 23:15Anicet-Georges Dologuélé, mbunge wa bunge la Jamhuri ya Afrika ya Kati amesema, udhaifu wa rais wa nchi hiyo na kutochukua hatua yoyote askari wa kofia buluu wa Umoja wa Mataifa ndio sababu ya kushamiri na kushadidi mgogoro nchini humo.
-
Iran na Afrika Kusini zajadili namna ya kuimarisha uhusiano wao
Aug 01, 2017 21:59Wanadiplomasia wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini wamefanya mazungumzo hapa mjini Tehran kuhusu namna ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili hususan katika uga wa siasa.
-
Wapalestina wapongeza hatua ya Afrika Kusini kupunguza uhusiano na Israel
Jul 09, 2017 09:34Wapalestina wamepongeza uamuzi wa hivi karibuni wa chama tawala cha Afrika Kusini ANC, ya kupunguza kiwango cha uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hamas yataka Israel ishinikizwe ili iheshimu haki za Wapalestina
Jul 07, 2017 03:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa mwito wa kubanwa na kushinikizwa utawala haramu wa Israel ili uheshimu haki za wananchi madhulumu wa Palestina.