-
Serikali Afrika Kusini kuchukua udhibiti wa ardhi bila kutoa fidia
Jul 05, 2017 23:37Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amesema kuna pendekezo la kuiwezesha serikali ya nchi hiyo kuchukua udhibiti wa ardhi pasina kulipa fidia kwa wamiliki wa ardhi hiyo.
-
Afrika Kusini kuomba msaada wa nje kuunusuru uchumi
Jun 30, 2017 23:07Afrika Kusini imetangaza kuwa huenda ikahitajia misaada ya kifedha kutoka nje ya nchi ili kuunusuru uchumi wa nchi hiyo unaoyumbayumba.
-
Mahakama Afrika Kusini yapiga marufuku shule kutangaza dini yoyote
Jun 28, 2017 10:36Mahakama moja nchini Afrika Kusini leo Jumatano imeamuru kuwa, taasisi za elimu za umma hazipaswi kueneza na kutangaza dini moja pekee na kuziweka kando dini nyingine, ikisema kuwa kufanya hivyo ni kukiuka Hati ya Shule.
-
Zuma: Afrika Kusini inaondokana na mdodoro wa uchumi
Jun 24, 2017 23:56Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amesema kuwa nchi hiyo hivi sasa inaondoka katika hali ya mdodoro wa kiuchumi.
-
Rais Jackob Zuma wa Afrika Kusini akanusha kumiliki kasri Dubai
Jun 05, 2017 02:09Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amekanusha madai ya kumiliki kasri katika Umoja wa Falme za Kiarabu au Imarati.
-
Kupingwa kura ya kutokuwa na imani na Rais wa Afrika Kusini
May 30, 2017 05:48Katika hali ambayo, mjadala wa kupigwa kura ya kutokuwa na imani na Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini umegeuka na kuwa mkali kutoka upande wa wapinzani, Kamati ya Utendaji ya chama cha ANC imetaka kunyamaziwa na kufumbiwa macho suala hilo.
-
Chama tawala Afrika Kusini chatangaza kumuunga mkono Rais Jacob Zuma
May 30, 2017 03:35Chama cha Kongresi ya Taifa ANC kinachotawala nchini Afrika Kusini kimetangaza kuwa, tume tendaji ya chama hicho inamuunga mkono Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.
-
Makamu wa Rais wa Afrika Kusini atuhumiwa kupokea rushwa kutoka kwa Kiir
May 26, 2017 22:49Waasi nchini Sudan Kusini wamemtuhumu Makamu wa Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa kwamba amepokea rushwa kutoka kwa Rais Salva Kiir wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika ili kuendelea kumzuilia kiongozi wao Riek Machar ambaye yuko nchini humo.
-
Kiongozi wa upinzani wa Afrika Kusini azuiwa kuingia nchini Zambia
May 26, 2017 09:39Viongozi wa serikali nchini Zambia wamemzuia kuingia nchini humo kiongozi wa upinzani wa Afrika Kusini.
-
Chama tawala Afrika Kusini chakanusha ripoti za kujadili kumwondoa madarakani Rais Zuma
May 23, 2017 21:50Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kimezitioa maanani na kueleza kuwa hazina ukweli ripoti za vyombo vya habari kwamba suala la kumwondoa madarakani Rais wa nchi hiyo Jacb Zuma litajadiliwa katika mkutano muhimu wa chama hicho utakaofanyika mwishoni mwa wiki.