Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Serikali Afrika Kusini kuchukua udhibiti wa ardhi bila kutoa fidia

    Serikali Afrika Kusini kuchukua udhibiti wa ardhi bila kutoa fidia

    Jul 05, 2017 23:37

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amesema kuna pendekezo la kuiwezesha serikali ya nchi hiyo kuchukua udhibiti wa ardhi pasina kulipa fidia kwa wamiliki wa ardhi hiyo.

  • Afrika Kusini kuomba msaada wa nje kuunusuru uchumi

    Afrika Kusini kuomba msaada wa nje kuunusuru uchumi

    Jun 30, 2017 23:07

    Afrika Kusini imetangaza kuwa huenda ikahitajia misaada ya kifedha kutoka nje ya nchi ili kuunusuru uchumi wa nchi hiyo unaoyumbayumba.

  • Mahakama Afrika Kusini yapiga marufuku shule kutangaza dini yoyote

    Mahakama Afrika Kusini yapiga marufuku shule kutangaza dini yoyote

    Jun 28, 2017 10:36

    Mahakama moja nchini Afrika Kusini leo Jumatano imeamuru kuwa, taasisi za elimu za umma hazipaswi kueneza na kutangaza dini moja pekee na kuziweka kando dini nyingine, ikisema kuwa kufanya hivyo ni kukiuka Hati ya Shule.

  • Zuma: Afrika Kusini inaondokana na mdodoro wa uchumi

    Zuma: Afrika Kusini inaondokana na mdodoro wa uchumi

    Jun 24, 2017 23:56

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amesema kuwa nchi hiyo hivi sasa inaondoka katika hali ya mdodoro wa kiuchumi.

  • Rais Jackob Zuma wa Afrika Kusini akanusha kumiliki kasri Dubai

    Rais Jackob Zuma wa Afrika Kusini akanusha kumiliki kasri Dubai

    Jun 05, 2017 02:09

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amekanusha madai ya kumiliki kasri katika Umoja wa Falme za Kiarabu au Imarati.

  • Kupingwa kura ya kutokuwa na imani na Rais wa Afrika Kusini

    Kupingwa kura ya kutokuwa na imani na Rais wa Afrika Kusini

    May 30, 2017 05:48

    Katika hali ambayo, mjadala wa kupigwa kura ya kutokuwa na imani na Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini umegeuka na kuwa mkali kutoka upande wa wapinzani, Kamati ya Utendaji ya chama cha ANC imetaka kunyamaziwa na kufumbiwa macho suala hilo.

  • Chama tawala Afrika Kusini chatangaza kumuunga mkono Rais Jacob Zuma

    Chama tawala Afrika Kusini chatangaza kumuunga mkono Rais Jacob Zuma

    May 30, 2017 03:35

    Chama cha Kongresi ya Taifa ANC kinachotawala nchini Afrika Kusini kimetangaza kuwa, tume tendaji ya chama hicho inamuunga mkono Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.

  • Makamu wa Rais wa Afrika Kusini atuhumiwa kupokea rushwa kutoka kwa Kiir

    Makamu wa Rais wa Afrika Kusini atuhumiwa kupokea rushwa kutoka kwa Kiir

    May 26, 2017 22:49

    Waasi nchini Sudan Kusini wamemtuhumu Makamu wa Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa kwamba amepokea rushwa kutoka kwa Rais Salva Kiir wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika ili kuendelea kumzuilia kiongozi wao Riek Machar ambaye yuko nchini humo.

  • Kiongozi wa upinzani wa Afrika Kusini azuiwa kuingia nchini Zambia

    Kiongozi wa upinzani wa Afrika Kusini azuiwa kuingia nchini Zambia

    May 26, 2017 09:39

    Viongozi wa serikali nchini Zambia wamemzuia kuingia nchini humo kiongozi wa upinzani wa Afrika Kusini.

  • Chama tawala Afrika Kusini chakanusha ripoti za kujadili kumwondoa madarakani Rais Zuma

    Chama tawala Afrika Kusini chakanusha ripoti za kujadili kumwondoa madarakani Rais Zuma

    May 23, 2017 21:50

    Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kimezitioa maanani na kueleza kuwa hazina ukweli ripoti za vyombo vya habari kwamba suala la kumwondoa madarakani Rais wa nchi hiyo Jacb Zuma litajadiliwa katika mkutano muhimu wa chama hicho utakaofanyika mwishoni mwa wiki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS