Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Indhari juu ya kugeuka Afrika Kusini na kuwa nchi ya kimafia

    Indhari juu ya kugeuka Afrika Kusini na kuwa nchi ya kimafia

    May 22, 2017 22:50

    Sambamba na kuendelea mivutano na malalamiko nchini Afrika Kusini, Makamu wa Rais wa nchi hiyo ametahadharisha kuhusiana na hatari ya kubadilika nchi hiyo kuwa ya Kimafia.

  • Ramaphosa atahadharisha Afrika Kusini kugeuka nchi ya kimafia

    Ramaphosa atahadharisha Afrika Kusini kugeuka nchi ya kimafia

    May 22, 2017 02:49

    Makamu wa Rais wa Afrika Kusini ametahadharisha juu ya nchi hiyo kugeuka na kuwa ya Kimafia.

  • Maandamano dhidi ya serikali nchini Afrika Kusini

    Maandamano dhidi ya serikali nchini Afrika Kusini

    May 16, 2017 22:03

    Kwa mara nyingine tena mvutano wa kisiasa umeigubika nchi ya Afrika Kusini kiasi kwamba, maelfu ya wapinzani wa serikali wameendelea kufanya maandamano katika siku za hivi karibuni wakitaka Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo ajiuzulu.

  • Makamu wa Rais Afrika Kusini asusia kula kuwaunga mkono Wapalestina waliogoma kula

    Makamu wa Rais Afrika Kusini asusia kula kuwaunga mkono Wapalestina waliogoma kula

    May 15, 2017 09:40

    Makamu wa rais wa Afrika Kusini na mawaziri wengine nchini humo wamesusia chakula kama njia ya kuonyesha kufungamana kwao na Wapalestina waliogoma kula katika jela za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Afrika Kusini kusaini mikataba ya ujenzi wa vituo vya umeme wa nyuklia

    Afrika Kusini kusaini mikataba ya ujenzi wa vituo vya umeme wa nyuklia

    May 13, 2017 09:10

    Afrika Kusini inatazamiwa kusaini mikataba mipya na yenye uwazi na nchi tano kuhusu ujenzi wa vituo vya kuzalisha umeme wa nyuklia.

  • Wananchi wa Afrika Kusini wasusia kula kuwaunga mkono mateka wa Palestina

    Wananchi wa Afrika Kusini wasusia kula kuwaunga mkono mateka wa Palestina

    May 04, 2017 03:04

    Wanaharakati, wafungwa wa kisiasa na wananchi wengine wa Afrika Kusini wamesusia kula chakula kuonyesha uungaji mkono wao kwa mateka wa Kipalestina waliosusia kula tangu Aprili 17 wakiwa katika jela na magereza ya utawala haramu wa Israel.

  • Maandamano makubwa ya kumtaka Rais Zuma ajiuzulu yafanyika Pretoria

    Maandamano makubwa ya kumtaka Rais Zuma ajiuzulu yafanyika Pretoria

    Apr 27, 2017 23:11

    Wananchi wa Afrika Kusini wameendelea kufanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi wakitaka kujiuzulu Rais wa nchi Jacob Zuma.

  • Makamu wa Rais wa Afrika Kusini ataka Rais Zuma achunguzwe

    Makamu wa Rais wa Afrika Kusini ataka Rais Zuma achunguzwe

    Apr 24, 2017 03:49

    Makamu wa Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema anaunga mkono kufanyika uchunguzi kuhusu madai ya ufisadi yanaoizunguka serikali ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.

  • Wanafunzi karibu 20 wafariki dunia katika ajali ya barabarani Afrika Kusini

    Wanafunzi karibu 20 wafariki dunia katika ajali ya barabarani Afrika Kusini

    Apr 22, 2017 01:40

    Dereva na watoto 19 wa shule wameaga dunia nchini Afrika Kusini wakati basi walilokuwa wakisafiria lilipogongana na lori na kulipuka kwa moto katika mkoa wa Mpumalanga.

  • Naibu wa Zuma amtaka asikilize matakwa ya waandamanaji

    Naibu wa Zuma amtaka asikilize matakwa ya waandamanaji

    Apr 17, 2017 09:32

    Naibu Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema viongozi wanapaswa kuwasikiliza waandamanaji nchini humo ambao wanamtaka Rais Jacob Zuma ajiuzulu au aondolewe madarakani baada ya mabadiliko yake ya baraza la mawaziri kupelekea nchi hiyo kushushwa kiwango cha kiuchumi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS