-
Rais Zuma wa Afrika Kusini kuitembelea Iran Jumamosi
Apr 22, 2016 11:53Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini anatazamiwa kuwasili nchini Iran Jumamosi ya kesho akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi.
-
Zuma azidi kusakamwa, kesi dhidi yake yawasilishwa mahakamani
Apr 10, 2016 03:31Kiongozi wa jamii ya Khoisan nchini Afika Kusini amewasilisha kesi ya jinai dhidi ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.
-
Zuma Anusurika kura ya kumwondoa madarakani
Apr 06, 2016 03:01Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amenusurika kura ya kutokuwa na imani naye bungeni.
-
Wapambe wa Mandela wamtaka rais Zuma ajiuzulu haraka
Apr 02, 2016 12:02Mwanaharakati maarufu anayepinga ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini amemtaka Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo ang'oke madarakani haraka iwezekanavyo.
-
Mahakama: Rais Zuma alikiuka katiba, arejeshe fedha zilizofujwa
Mar 31, 2016 09:42Mahakama ya Juu ya Afrika Kusini imemuagiza Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo kuirejeshea serikali sehemu ya dola milioni 16 za Marekani zilizotumika kukarabati makazi yake binafsi, kwenye moja ya kashfa kubwa za ufisadi zilizowahi kuripotiwa nchini humo katika miaka ya hivi karibuni.
-
Afrika Kusini yakanusha kutumba jeshi Nigeria kupambana na Boko Haram
Mar 09, 2016 23:12Jeshi la Afrika Kusini limekanusha habari kuwa litatatuma askari nchini Nigeria kupambana na wapiganaji wa kundi la Boko Haram.
-
Rais wa Afrika Kusini anusurika kupigiwa na Bunge kura ya kutokuwa na imani na utendaji wake wa kiuchumi
Mar 01, 2016 23:19Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amenusurika kwa mara ya pili katika kipindi cha mwaka mmoja kuondolewa madarakani kwa kura ya kutokuwa na imani naye, baada ya hoja iliyowasilishwa bungeni kutoungwa mkono na wabunge walio wengi.
-
Wanafunzi wateketeza kwa moto chuo kikuu Afrika Kusini
Feb 26, 2016 12:47Wanafunzi waliogoma nchini Afrika Kusini wameteketeza kwa moto majengo kadhaa ya chuo kikuu.
-
Amnesty International yaikosoa Afrika Kusini kwa kushindwa kumkamata al-Bashir
Feb 25, 2016 04:32Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeikosoa serikali ya Afrika Kusini kwa kushindwa kumkamata Rais wa Sudan, Omar Hassan al-Bashir alipoitembelea nchi hiyo mwezi Julai mwaka jana.
-
Jacob Zuma kutembelea Iran karibuni hivi
Feb 22, 2016 04:22Mtandao mmoja wa habari wa Afrika Kusini umesema kuwa, Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo anatarajiwa kutembelea Iran mwishoni mwa mwezi huu wa Februari.