Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika ya Kati

  • Baraza la Usalama lalaani shambulio dhidi ya walinda amani nchini CAR

    Baraza la Usalama lalaani shambulio dhidi ya walinda amani nchini CAR

    Apr 12, 2018 07:36

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limelaani vikali shambulio dhidi ya askari jeshi wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati lililosababisha mauti ya mwanajeshi mmoja raia wa Rwanda na kujeruhi wengine wanane.

  • Sauti za risasi zasikika karibu na Ikulu ya Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Sauti za risasi zasikika karibu na Ikulu ya Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Apr 09, 2018 04:46

    Duru za usalama za Jamhuri ya Afrika ya Kati zimetangaza habari ya kutokea mapigano baina ya watu wenye silaha na askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa karibu na Ikulu ya Rais mjini Bangui.

  • Watu kadhaa wauawa katika mapigano mapya CAR

    Watu kadhaa wauawa katika mapigano mapya CAR

    Mar 24, 2018 15:59

    Duru za habari za Jamhuri ya Afrika ya Kati zimeripoti kuwa, kumezuka mapigano mapya kati ya makundi ya wabeba silaha na kupelekea watu kadhaa kuuawa, katika maeneo ya kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Watu kadhaa wauawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Watu kadhaa wauawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Mar 21, 2018 07:43

    Wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati wameripoti kuwa watu wawili wameuawa na wawili wengine kujeruhiwa katika mapigano yaliyotokea baina ya watu wenye silaha kusini mwa nchi hiyo.

  • Mahakama ya Ufaransa yawaachia huru askari waliowanajisi watoto Bangui

    Mahakama ya Ufaransa yawaachia huru askari waliowanajisi watoto Bangui

    Jan 17, 2018 08:23

    Mahakama moja nchini Ufaransa imetangaza kuhitimisha faili la tuhuma za askari wa nchi hiyo waliowanajisi watoto wa Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa madai ya kutokuwepo ushahidi wa kutosha.

  • Nusu ya raia wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wanahitajia misaada ya kibinadamu

    Nusu ya raia wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wanahitajia misaada ya kibinadamu

    Dec 31, 2017 14:35

    Nusu ya raia wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wanahitajia misaada ya kibinadamu huku kukitolewa miito ya kuwasaidia haraka raia hao.

  • Waasi wa Kikristo wa Anti Balaka waua askari wa UN na kujeruhi wengine kadhaa CAR

    Waasi wa Kikristo wa Anti Balaka waua askari wa UN na kujeruhi wengine kadhaa CAR

    Nov 27, 2017 08:10

    Wapiganaji wa kundi la Kikristo la Anti barala wameua askari mmoja wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati na kujeruhi wengine watatu.

  • Mapigano yaanza tena katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Mapigano yaanza tena katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Nov 26, 2017 13:17

    Duru za habari zinaripoti kutoka katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kwamba, mapigano makali yamezuka tena katika nchi hiyo na kuzusha wasiwasi mkubwa miongoni mwa raia.

  • Mapigano yaendelea kaskazini mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Mapigano yaendelea kaskazini mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Nov 05, 2017 03:37

    Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imeripoti kuwa mapigano makali yangali yanaendelea katika mkoa wa Ouham kaskazini mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • OIC yalaani mauaji ya Waislamu Jamhuri ya Afrika ya Kati

    OIC yalaani mauaji ya Waislamu Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Oct 23, 2017 03:18

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na taasisi ya al Azhar nchini Misri zimelaani mauaji yanayofanywa dhidi ya Waislamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS