Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

afya

  • Waziri wa Afya wa serikali ya Taliban ya Afghanistan yupo ziarani nchini Iran

    Waziri wa Afya wa serikali ya Taliban ya Afghanistan yupo ziarani nchini Iran

    Sep 06, 2022 02:15

    Waziri wa Afya wa Serikali ya Taliban ya Afghanistan yupo ziarani hapa nchini Iran akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa serikali hiyo.

  • Mripuko wa kipindupindu waua makumi ya watu Kongo DR

    Mripuko wa kipindupindu waua makumi ya watu Kongo DR

    Sep 01, 2022 07:34

    Mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu umepelekea watu wasiopungua 48 kupoteza maisha katika mkoa wa Sankuru, katikati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Iran inazalisha asilimia 98 ya dawa zake ndani ya nchi

    Iran inazalisha asilimia 98 ya dawa zake ndani ya nchi

    Aug 27, 2022 11:17

    Shirika la Dawa na Chakula la Iran (FDA) limesema asilimia 98 ya dawa zilizoko nchini zinazalishwa na wataalamu wa taifa hili, na kwamba Jamhuri ya Kiislamu ni miongoni mwa nchi 20 duniani zinazojizalishia dawa kwa kutumia teknolojia ya hali ya juu.

  • Nchi za Afrika zapasisha stratejia ya kupambana na magonjwa sugu

    Nchi za Afrika zapasisha stratejia ya kupambana na magonjwa sugu

    Aug 24, 2022 10:48

    Mawaziri wa Afya wa nchi za Afrika wameunga mkono stratejia mpya inayonuia kupiga jeki upatikanaji wa dawa na matibabu ya magonjwa sugu yasiyo ya kuambukiza barani humo.

  • Uhispania, Brazil zaripoti vifo vya kwanza vya Monkeypox nje ya Afrika

    Uhispania, Brazil zaripoti vifo vya kwanza vya Monkeypox nje ya Afrika

    Jul 30, 2022 09:30

    Vifo vya kwanza vilivyotokana na ugonjwa wa Ndui ya Nyani (Monkeypox) nje ya bara la Afrika vimeripotiwa katika nchi za Uhispania na Brazil, huku maambukizi ya ugonjwa huo yakiongezeka kote duniani hususan barani Ulaya.

  • Afrika yalilia chanjo ya Monkeypox iliyoua watu 75 barani humo

    Afrika yalilia chanjo ya Monkeypox iliyoua watu 75 barani humo

    Jul 30, 2022 03:43

    Afrika haina hata dozi moja ya chanjo ya kupambana na ugonjwa wa Ndui ya Nyani (Monkeypox), licha ya kuwa bara pekee lililosajili vifo vilivyotokana na maradhi hayo.

  • Marekani yaripoti kesi ya kwanza ya polio baada ya muongo mmoja

    Marekani yaripoti kesi ya kwanza ya polio baada ya muongo mmoja

    Jul 22, 2022 07:25

    Marekani imeripoti kesi ya kwanza ya ugonjwa wa kupooza au polio baada ya kupita karibu miaka kumi.

  • Afrika Kusini yasajili kesi ya kwanza ya ugonjwa wa Monkeypox

    Afrika Kusini yasajili kesi ya kwanza ya ugonjwa wa Monkeypox

    Jun 24, 2022 01:16

    Afrika Kusini imeripoti kesi ya kwanza iliyothibitishwa ya ugonjwa wa virusi wa Monkeypox.

  • Nchi 8 za Afrika miongoni mwa 39 duniani zilizoripoti Monkeypox

    Nchi 8 za Afrika miongoni mwa 39 duniani zilizoripoti Monkeypox

    Jun 20, 2022 04:21

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema nchi 8 za Afrika ni miongoni mwa nchi 39 duniani zilizoripoti kesi zilizothibitishwa za ugonjwa wa Monkeypox.

  • Mripuko wa kipindupindu waikumba Cameroon, kesi 6,000 zaripotiwa

    Mripuko wa kipindupindu waikumba Cameroon, kesi 6,000 zaripotiwa

    Apr 02, 2022 12:57

    Watu wasiopungua 100 wamepoteza maisha kutokana na mripuko mpya wa kipindupindu nchini Cameroon, huku wengine 6,000 wakikumbwa na ugonjwa huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS