Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ajali

  • Watu 176 waaga dunia katika ajali ya ndege ya Ukraine mjini Tehran

    Watu 176 waaga dunia katika ajali ya ndege ya Ukraine mjini Tehran

    Jan 08, 2020 07:42

    Watu 176 wamepoteza maisha baada ya ndege ya abiria ya Ukraine kuanguka na kuteketea moto viungani mwa mji mkuu wa Iran, Tehran.

  • Watu 50 waaga dunia katika ajali ya treni Kongo DR

    Watu 50 waaga dunia katika ajali ya treni Kongo DR

    Sep 13, 2019 02:38

    Kwa akali watu 50 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya treni iliyotokea mapema jana Alkhamisi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Tanzania yatangaza siku tatu za maombolezo, vifo vya ajali ya gari la mafuta Morogoro

    Tanzania yatangaza siku tatu za maombolezo, vifo vya ajali ya gari la mafuta Morogoro

    Aug 11, 2019 14:02

    Rais wa Tanzania, John Magufuli amewatembelea majeruhi 43 wa ajali ya moto iliyotokea jana mkoani Morogoro waliolazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na kuwapatia kila mmoja Shilingi 500,000 kwa ajili ya matumizi.

  • Nchi za Afrika zatakiwa kupunguza ajali za barabarani kwa asilimia 50

    Nchi za Afrika zatakiwa kupunguza ajali za barabarani kwa asilimia 50

    May 09, 2019 12:40

    Tume ya Uchumi ya Afrika katika Umoja wa Mataifa (ECA) imetoa wito kwa nchi za Afrika kupunguza kwa nusu idadi ya watu wanaofarikia au kujeruhiwa kutokana na ajali za barabarani.

  • Wahajiri 16 wa Kiafrika waaga dunia katika ajali ya barabarani Morocco

    Wahajiri 16 wa Kiafrika waaga dunia katika ajali ya barabarani Morocco

    Apr 28, 2019 07:14

    Kwa akali wahajiri 16 wanaotoka katika nchi za eneo la chini ya Jangwa la Sahara wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea katika eneo la Melilla, kaskazini mwa Morocco.

  • Watu 37 waaga dunia baada ya boti kuzama DRC

    Watu 37 waaga dunia baada ya boti kuzama DRC

    Apr 24, 2019 04:18

    Miili 37 imepatikana baada ya boti nyingine kuzama huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wiki moja baada ya makumi ya watu kupoteza maisha huku wengine wengi wakitoweka baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika Ziwa Kivu katika mkoa wa Kivu Kusini, mashariki mwa nchi.

  • Makumi wafa maji, 150 watoweka katika ajali ya boti Kongo DR

    Makumi wafa maji, 150 watoweka katika ajali ya boti Kongo DR

    Apr 17, 2019 13:45

    Makumi ya watu wamethibitishwa kupoteza maisha huku wengine 150 wakitoweka baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika Ziwa Kivu katika mkoa wa Kivu Kusini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Watu 27 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Kongo DR

    Watu 27 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Kongo DR

    Dec 25, 2018 14:30

    Watu wsiopungua 27 wameaga dunia katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea magharibi mwa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa.

  • Basi lililokuwa likielekea A/Kusini laripuka na kuua abiria 43 Zimbabwe

    Basi lililokuwa likielekea A/Kusini laripuka na kuua abiria 43 Zimbabwe

    Nov 16, 2018 14:40

    Watu wasiopungua 43 wamethibitishwa kupoteza maisha baada ya basi la abiria kuripuka na kushika moto usiku wa kuamkia leo nchini Zimbabwe.

  • Watu 28 waaga dunia na kujeruhiwa katika ajali ya barabarani Tanzania

    Watu 28 waaga dunia na kujeruhiwa katika ajali ya barabarani Tanzania

    Sep 09, 2018 02:47

    Kwa akali watu 15 wamepoteza maisha na wengine 13 kujeruhiwa katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea katika mkoa wa Mbeya, kusini mwa Tanzania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS