Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • 30 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na wanakijiji Somalia

    30 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na wanakijiji Somalia

    Sep 06, 2020 03:05

    Makumi ya watu wameuawa katika makabiliano makali baina ya wanamgambo wa al-Shabaab na wanakijiji katikati mwa Somalia.

  • Wapiganaji 18 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa nchini Somalia

    Wapiganaji 18 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa nchini Somalia

    Jul 19, 2020 02:22

    Kwa akali wapiganaji 18 wa kundi la kiigaidi la al-Shabab wameangamizwa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia mashambulio ya jeshi la nchi hiyo dhidi ya wanamgambo hao katika mji wa Jilib.

  • Magaidi 5 wa al-Shabaab waangamizwa kusini mwa Somalia

    Magaidi 5 wa al-Shabaab waangamizwa kusini mwa Somalia

    Jul 07, 2020 02:43

    Jeshi la Kitaifa la Somalia limetangaza habari ya kuangamiza wanachama watano wa kundi la kigaidi la al-Shabaab huko kusini magharibi mwa nchi.

  • Kamanda wa al Shabab aangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia

    Kamanda wa al Shabab aangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia

    Jun 26, 2020 02:13

    Redio ya serikali ya Somalia imetangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limefanikiwa kumuangamiza kamanda wa wanamgambo wa kundi la al Shabab.

  • Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 37 wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 37 wa al-Shabaab

    Jun 07, 2020 22:09

    Jeshi la Taifa la Somalia limetangaza kuwa limefanikiwa kuua makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab huko kusini mwa nchi.

  • Jeshi la Somalia laua magaidi wengine 7 wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia laua magaidi wengine 7 wa al-Shabaab

    May 26, 2020 23:09

    Jeshi la Taifa la Somalia limefanikiwa kuangamiza wanachama saba wa kundi la kigaidi la al-Shabaab katika eneo la Hiran, katikati mwa nchi.

  • Wanachama kadhaa wa al-Shabaab waangamizwa na jeshi la Jubaland

    Wanachama kadhaa wa al-Shabaab waangamizwa na jeshi la Jubaland

    May 25, 2020 21:57

    Jeshi la eneo lenye mamlaka ya ndani la Jubaland limetangaza habari ya kuangamiza wanachama wanne wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab katika mji wa Dhobley, Kusini mwa Somalia.

  • Al-Shabaab waibuka na jipya, wadai askari wa AU wanaeneza Corona Somalia

    Al-Shabaab waibuka na jipya, wadai askari wa AU wanaeneza Corona Somalia

    Mar 29, 2020 03:37

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la Somalia limekataa mwito wa kusitisha vita wakati huu wa kukabiliana na janga la Covid-19, huku likiwalaumu askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini humo (Amisom) kwa kueneza virusi vya Corona.

  • Jeshi la Somalia laua magaidi 12 wa al-Shabaab kusini mwa Somalia

    Jeshi la Somalia laua magaidi 12 wa al-Shabaab kusini mwa Somalia

    Mar 27, 2020 03:30

    Wanachama 12 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika eneo la Bay, kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Jeshi la Somalia lapambana na wanamgambo wa Ahlu Sunnah Wal Jama’a (ASWJ)

    Jeshi la Somalia lapambana na wanamgambo wa Ahlu Sunnah Wal Jama’a (ASWJ)

    Feb 28, 2020 09:39

    Jeshi la Somalia mapema leo Ijumaa limepambana na wanamgambo wa kundi moja la kikanda katika kile kinachotajwa na Wasomali kuwa ni mapigano makali zaidi baada ya misuguano ya kisiasa inayoendelea kuikwamisha nchi hiyo katika dimbwi la ghasia na machafuko.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS