Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Amali za Hija

  • Qatar: Saudia iache kuingiza masuala ya dini katika mgogoro wa kisiasa

    Qatar: Saudia iache kuingiza masuala ya dini katika mgogoro wa kisiasa

    Jun 06, 2018 14:20

    Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu nchini Qatar sambamba na kuelezea mwenendo wa vizuizi vinavyofanywa na Saudia kwa ajili ya kuwazuia raia wa nchi hiyo kuweza kushiriki ibada ya hija, imeitaka Riyadh kuacha kuyaingiza masuala ya kidini katika mgogoro wa kisiasa wa pande mbili.

  • Wairani 90,000 kutelekeza ibada ya Hija mwaka huu

    Wairani 90,000 kutelekeza ibada ya Hija mwaka huu

    Feb 19, 2018 15:37

    Mwakilishi wa Faqihi Mtawala na Msimamizi wa Mahujaji Wairani amesema: "Mwaka huu Mahujaji Wairani katika Baitullah al Haram watakuwa ni 90,000."

  • Mahujaji wa Nyumba ya Allah watoa ujumbe amani kwa walimwengu wote

    Mahujaji wa Nyumba ya Allah watoa ujumbe amani kwa walimwengu wote

    Sep 04, 2017 16:27

    Shirika la habari la IRNA limemnukuu Amir wa Makkah akisema kuwa, mwaka huu zaidi ya mahujaji milioni mbili wameshiriki katika ibada za jangwa la Arafa na hao ni wawakilishi wa Waislamu zaidi ya bilioni moja na milioni 800 ambao wamewafikishia walimwengu wote ujumbe wa amani na kuishi pamoja kwa usalama.

  • Hija, njia muhimu zaidi ya kuongezea pato la serikali ya Saudi Arabia

    Hija, njia muhimu zaidi ya kuongezea pato la serikali ya Saudi Arabia

    Sep 03, 2017 02:33

    Kutokana na kupungua mapato ya serikali ya Saudi Arabia yanayotokana na mafuta kufuatia kushuka bei ya bidhaa hiyo katika soko ya dunia, Hija imekuwa njia muhimu zaidi mbadala ya kuongezea pato la nchi hiyo kutokana na mabilioni kadhaa ya dola inazochangia kila mwaka katika bajeti ya nchi hiyo.

  • Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Allah waendelea na amali za Hija

    Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Allah waendelea na amali za Hija

    Sep 02, 2017 15:02

    Zaidi ya mahujaji milioni moja wanaendelea na amali tukufu za Hija katika mji mtakatifu wa Makkah nchini Saudi Arabia.

  • Mamia ya mahujaji wanusurika na ajali ya moto Makkah, Saudia

    Mamia ya mahujaji wanusurika na ajali ya moto Makkah, Saudia

    Aug 22, 2017 08:07

    Mamia ya mahujaji wamenusurika katika ajali ya moto uliotokea katika jengo la ghorofa 15 mjini Makkah, Saudi Arabia.

  • Saudia yafungua mpaka wa ardhini na Qatar; Doha yataka Hija isitumiwe kisiasa

    Saudia yafungua mpaka wa ardhini na Qatar; Doha yataka Hija isitumiwe kisiasa

    Aug 17, 2017 14:30

    Saudi Arabia imefungua mpaka wake wa pamoja wa ardhini na Qatar kuruhusu mahujaji kutoka nchi hiyo ndogo ya Kiarabu kuelekea kwenye ardhi tukufu za Makka na Madina kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija ya mwaka huu.

  • Syria nayo yaikosoa Saudia kwa kuingiza siasa katika suala la Hijja

    Syria nayo yaikosoa Saudia kwa kuingiza siasa katika suala la Hijja

    Aug 01, 2017 13:49

    Serikali ya Syria imelalamikia vikali uendeshaji wa kisiasa wa ibada tukufu ya Hijja unaofanywa na utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia.

  • Qatar: Saudia inaendesha kisiasa Ibada ya Hijja

    Qatar: Saudia inaendesha kisiasa Ibada ya Hijja

    Jul 30, 2017 15:13

    Kamisheni Taifa ya Haki za Binadamu nchini Qatar imelalamikia vikali uendeshaji wa kisiasa wa ibada tukufu ya Hijja unaofanywa na utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia.

  • Saudia yakubali masharti ya Iran kuhusu ibada ya Hijja

    Saudia yakubali masharti ya Iran kuhusu ibada ya Hijja

    Mar 03, 2017 08:12

    Saudi Arabia imekubali mapendekezo yalitolewa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya kulindwa mahujaji wa taifa hili katika ibada ya Hijja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS