-
Mufti wa Algeria aikosoa vikali Saudia kwa kuongeza gharama za Hija, Umrah
Dec 10, 2016 02:46Mufti Mkuu wa Algeria ameukosoa vikali utawala wa Saudia Arabia kwa vitendo vyake vya kuwazuia Waislamu kutekekeleza ibada ya faradhi ya Hija na pia Umrah
-
Saudia yazuia Wasyria kuhiji kwa mwaka wa tano mfululizo
Sep 12, 2016 06:42Utawala wa ukoo wa Aal Saud kwa mwaka wa tano mfululizo umewazuia Mahujaji kutoka Syria kuingia Saudi Arabia kutekeleza Ibada ya Hija.
-
Rais Rouhani awatumia viongozi wa nchi za Kiislamu salamu za Idi
Sep 12, 2016 02:36Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu duniani salamu za kheri na fanaka kwa munasaba wa siku kuu ya Idul Adha.
-
Pakistan: Saudia ikabidhi usimamizi wa Hija kwa jamii ya Waislamu
Sep 06, 2016 15:16Naibu Spika wa Bunge la Pakistan katika jimbo la Sindh ameitaka serikali ya Saudi Arabia ikabidhi usimamizi wa ibada ya Hija kwa jamii ya Waislamu duniani.
-
Saudia yafanya njama ya kuwakwamisha Wayemen wasiende Hija tena kwa mwaka wa pili
Aug 02, 2016 15:54Wizara ya Waqfu ya Yemen imetangaza kuwa Saudi Arabia inafanya njama za kuwakwamisha kwa mwaka wa pili mfululizo mahujaji kutoka Yemen wasiende nchini humo kutekeleza ibada ya Hija.
-
Kuimarishwa udiplomasia wa Hija baina ya nchi za Kiislamu
Jul 21, 2016 11:02Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara za Kidini Iran amesisitiza kuhusu Diplomasia ya Hija baina ya nchi zote za Kiislamu hasa Iran na Pakistan.
-
18 Wajeruhiwa katika msongamano mkubwa Makka
Jul 02, 2016 13:29Waislamu 18 waliokuwa katika Ibada ya Umrah wamejeruhiwa kufuatia msongamano mkubwa katika mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia, miezi sita tu baad aya maelfu kupoteza maisha katika Ibada ya Hija mwaka jana.
-
Waislamu Uganda wataka Hija isimamiwe kimataifa
Jun 14, 2016 08:32Waislamu nchini Uganda wamehimiza kusimamiwa kimataifa amali ya Hija hasa kutokana na vifo vingi vilivyotokea katika msimu wa mwaka jana wa Hija. Mwandishi wa Radio Tehran ametuandalia ripoti ifuatayo kutoka Kampala. Gonga kwenye picha kusikiliza ripoti hiyo
-
Saudia imechukua hatua dhidi ya dini kuwazuia Mahujaji Wairani mwaka huu
Jun 13, 2016 07:11Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Thaqalyn mjini Kano, kaskazni mwa Nigeria amesema hatua ya utawala wa Saudia kuwazuia mahujaji Wairani mwaka huu ni kitendo kilicho dhidi ya dini na mantiki.
-
Nchi za Kiislamu zibadili usimamizi wa Hija
Jun 06, 2016 03:49Mkuu wa Shirika la Hija na Ziara za Kidini la Iran amesema kuna udharura wa nchi za Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu kuanzisha mkakati wa kubadilisha muundo wa usimamizi wa Ibada ya Hija na kuzuia mwenendo wa ubaguzi na utumiaji mabavu wa Saudi Arabia kuhusu ibada hiyo ya kila mwaka.