- 
          4 wauawa, mamia watiwa nguvuni katika maaandamano ya kupinga kupanda bei ya mafuta huko AngolaJul 30, 2025 02:44Watu wasiopungua wanne wamepoteza maisha na mamia ya wengine kutiwa nguvuni katika maandamano ya ghasia huko Angola kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta. 
- 
          Iran na Angola zalaani jinai za utawala wa Kizayuni wa IsraelNov 15, 2024 07:48Balozi mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Angola na rais wa nchi hiyo wamelaani vitendo vya jinai vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na Lebanon. 
- 
          Angola kutuma wanajeshi wake DRC kukabiliana na waasi wa M23Mar 12, 2023 07:31Angola imesema itatuma kikosi cha wanajeshi wake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, siku chache baada ya makubaliano ya kusitisha vita baina ya pande hasimu nchini humo kugonga mwamba. 
- 
          Lavrov ziarani Angola katika juhudi za kuungwa mkono kimataifa MoscowJan 26, 2023 09:09Sergei Lavrov Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amezituhumu nchi za Magharibi kwa kuzishinikiza nchii zinazoendelea duniani ilikuegemea na kuiunga mkono Ukraine. 
- 
          Mahakama Angola yaamuru kuzuiwa mali za binti wa rais wa zamani wa nchi hiyoDec 28, 2022 11:14Mahakama ya Juu ya Angola imeamuru kuzuiliwa "kitahadhari" mali zenye thamani ya takriban dola bilioni moja zinazomilikiwa na Isabel dos Santos, binti wa rais wa zamani wa nchi hiyo José Eduardo dos Santos. 
- 
          Mahakama Angola yatupilia mbali kesi ya kupinga uchaguzi wa raisSep 09, 2022 12:26Mahakama ya Katiba ya Angola imetupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais wa Agosti 24, yaliyompa ushindi mgombea wa chama tawala cha MPLA, Rais Joao Lourenco. 
- 
          Chama tawala kinaongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi AngolaAug 25, 2022 10:46Matokeo ya awali katika uchaguzi mkuu uliofanyika nchini Angola hapo jana yanaonesha kuwa chama tawala cha MPLA kinaongoza. 
- 
          Wananchi wa Angola leo wanamchagua Rais; upinzani watishia kupinga matokeoAug 24, 2022 08:01Wananchi wa Angola waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanashiriki katika uchaguzi kwa ajili ya kumchagua rais mpya wa nchi hiyo. 
- 
          DRC na Rwanda zakubaliana kupunguza mivutano kwa sababu ya waasi wa M23Jul 07, 2022 11:25Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC na Rwanda zimekubaliana kutekeleza "mchakato wa kupunguza mvutano" baina yao kufuatia mazungumzo ya siku moja yaliyofanywa na marais wa nchi hizo mbili kwa upatanishi wa rais wa Angola. 
- 
          Madaktari Angola kuendelea na mgomo wa nchi nzimaDec 13, 2021 04:31Zaidi ya nusu ya madaktari wote nchini Angola wanaendelea na mgomo wao wa nchi nzima wakishinikiza kulipwa mishahara yao na kuboreshewa mazingira ya kazi huku janga la corona likiendelea kuutatiza mfumo dhaifu wa huduma za afya wa nchi hiyo.