Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Angola

  • WHO: Watu zaidi ya 300 waaga dunia kwa homa ya manjano Angola

    WHO: Watu zaidi ya 300 waaga dunia kwa homa ya manjano Angola

    May 27, 2016 14:32

    Mripuko wa homa ya manjano nchini Angola umesababisha vifo vya watu zaidi ya 300 tangu mwezi Disemba mwaka jana, huku kesi za ugonjwa huo zikienea hadi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya na hata Uchina.

  • WHO: Chanjo ya homa ya manjano ni sharti kwa waendao Angola

    WHO: Chanjo ya homa ya manjano ni sharti kwa waendao Angola

    Apr 27, 2016 03:33

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema wasafiri wote wanaoenda nchini Angola wanahitaji kupata chanjo ya homa ya manjano ili kuthibitisha wamejikinga na kuzuia kuisambaza zaidi.

  • Angola; nchi ya kwanza kwa kuzalisha mafuta barani Afrika

    Angola; nchi ya kwanza kwa kuzalisha mafuta barani Afrika

    Apr 18, 2016 04:14

    Angola hivi sasa imekuwa nchi ya kwanza inayozalisha mafuta kwa wingi barani Afrika.

  • Homa ya manjano yaua watu 158 nchini Angola

    Homa ya manjano yaua watu 158 nchini Angola

    Mar 18, 2016 16:39

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza leo kuwa idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na homa ya manjano nchini Angola imefikia 158.

  • Watu 24 waaga dunia katika mafuriko nchini Angola

    Watu 24 waaga dunia katika mafuriko nchini Angola

    Mar 03, 2016 14:08

    Kwa akali watu 24 wamepoteza maisha huku makumi ya wengine wakitoweka kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha nchini Angola.

  • Idadi ya wahanga wa homa ya manjano yapindukia 120 Angola

    Idadi ya wahanga wa homa ya manjano yapindukia 120 Angola

    Feb 27, 2016 16:50

    Idadi ya wahanga wa homa ya manjano (Yellow Fever) nchini Angola imeongezeka na kupindukia 120.

  • Zaidi ya watu 50 wafariki dunia kwa homa ya manjano nchini Angola

    Zaidi ya watu 50 wafariki dunia kwa homa ya manjano nchini Angola

    Feb 15, 2016 15:25

    Mkuu wa idara ya taifa ya afya nchini Angola amesema kuwa, watu 51 wamefariki dunia katika kipindi cha chini ya miezi mwili katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika kutokana na homa ya manjano.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS