Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza leo kuwa idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na homa ya manjano nchini Angola imefikia 158.
Kwa akali watu 24 wamepoteza maisha huku makumi ya wengine wakitoweka kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha nchini Angola.
Idadi ya wahanga wa homa ya manjano (Yellow Fever) nchini Angola imeongezeka na kupindukia 120.
Mkuu wa idara ya taifa ya afya nchini Angola amesema kuwa, watu 51 wamefariki dunia katika kipindi cha chini ya miezi mwili katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika kutokana na homa ya manjano.