-
Ansarullah: Marekani inazuia suhulu ya kisiasa katika mgogoro wa Yemen
Aug 12, 2021 03:36Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Marekani inakwamisha na kuzuia kupatikana suluhisho la kisiasa katika mgogoro unaoikabili nchi hiyo maskini ya Kiarabu inayozongwa na vita na mapigano tokea mwaka 2015.
-
Ansarullah: Hatujawahi na kamwe hatutafuti utambulisho wetu kutoka kwa Marekani
Jun 26, 2021 02:46Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen ametuma ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter na kusisitiza kuwa, harakati hiyo ya wananchi wa Yemen kamwe haijawahi kufikiria kutafuta utambulisho wake kutoka kwa Marekani na haina haja ya kutambuliwa rasmi na dola hilo la kiistikbari.
-
Ansarullah yakosoa kauli ghalati ya jenerali wa kijeshi wa US dhidi ya Yemen
Jun 20, 2021 22:19Mwanachama wa ngazi ya juu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amemkosoa vikali Kamanda Mkuu wa Kamandi Kuu ya Kijeshi ya Marekani (CENTCOM) kwa kutoa matamshi yasiyo na msingi kuwa Sanaa imekataa kuketi kwenye meza ya mazungumzo na kusisitiza kuwa, afisa huyo wa Washington hana ufahamu wowote kuhusu siasa.
-
Ansarullah: Marekani inafadhilisha vita Yemen, haitaki amani
Jun 11, 2021 03:25Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amelaani hatua ya Marekani ya kuliwekea vikwazo vipya taifa hilo la Kiarabu na kusisitiza kuwa, Washington inafadhilisha vita nchini Yemen, na wala haitaki amani kama inavyodai.
-
Ansarullah: Kupambana na tishio la Israel, ni jukumu la kidini la Umma wa Kiislamu
May 06, 2021 23:31Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kukabiliana na vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel ni wajibu na jukumu la kidini la Umma wote wa Kiislamu.
-
Ansarullah yajibu mapigo baada ya Saudia kuua watoto wa Yemen kwa mabomu
Apr 15, 2021 23:03Wanaharakati wa Ansarullah wakishirikiana na vikosi vya jeshi la Yemen wameshambulia kwa makombora na ndege zisizo na rubani (droni) kituo cha mafuta cha Aramco cha Saudi Arabia, siku moja baada ya muungano vamizi unaoongozwa na Riyadh kushambulia kwa mabomu mkoa wa Sa'ada wa kaskazini magharibi mwa Yemen.
-
Waziri Mkuu, Waziri wa Ulinzi wa zamani kupandishwa kizimbani nchini Kuwait
Apr 05, 2021 22:17Kamati ya maalumu ya uchunguzi ya Mahakama ya Mawaziri ya serikali ya Kuwait imetoa amri ya kupandishwa kizimbani Jabir al Mubarak, Waziri Mkuu wa zamani na Khalid al Jarrah, waziri wa zamani wa ulinzi pamoja na viongozi wengine wanne wa nchi hiyo, kwa tuhuma za ufisadi na wizi wa fedha.
-
"Kuiondoa Ansarullah katika orodha ya ugaidi ni hadaa ya Marekani"
Apr 04, 2021 06:30Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amesema hatua ya Marekani ya kutangaza eti imeliondoa jina la Ansarullah katika orodha yake ya makundi ya kigaidi ni hadaa tupu na mchezo mchafu wa kisiasa.
-
Ripoti ya kwanza ya "Hiroshima ya Yemen" yasambazwa na Ansarullah
Apr 02, 2021 02:05Idara ya masuala ya haki na sheria ya Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen, imesambaza ripoti ya kwanza ya kisheria na ya matukio ya kweli kuhusu jinai za kutisha na za kinyama za Saudi Arabia na Marekani dhidi ya wananchi wa Yemen. Ripoti hiyo imepewa jina la Hiroshima ya Yemen.
-
Msemaji wa Ansarullah; vita vya Yemen ni soko la kuuzia silaha za Marekani na Ulaya
Mar 25, 2021 03:30Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa vita vya Yemen ni soko la kuuzia silaha za kivita za Marekani na Ulaya.