Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Sheikh Isa Qassim asisitiza kuendelezwa muqawama Bahrain kukabiliana na utawala wa Aal Khalifa

    Sheikh Isa Qassim asisitiza kuendelezwa muqawama Bahrain kukabiliana na utawala wa Aal Khalifa

    Jul 23, 2020 04:16

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain amesema, wanaowanyima na kuwazuia wananchi wa Bahrain haki yao ya kulalamika ni watu wajeuri na wachokozi na akasisitiza kwamba, muqawama wa wananchi hao wa kukabiliana na utawala wa Aal Khalifa ungali unaendelea.

  • Abdollahian: Utawala wa Aal-Khalifa uimarishe uhusiano wa Wabahrain, si Israel

    Abdollahian: Utawala wa Aal-Khalifa uimarishe uhusiano wa Wabahrain, si Israel

    Jul 14, 2020 08:06

    Mshauri wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) katika masuala ya kimataifa ameukosoa vikali utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain kwa kukanyaga haki za binadamu za raia wa nchi hiyo.

  • Malengo ya madai yasiyo na msingi ya Bahrain dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Malengo ya madai yasiyo na msingi ya Bahrain dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Jul 01, 2020 07:49

    Abdullatif bin Rashid al Zayani, waziri wa mambo ya nje wa utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain amesema katika mkutano na waandishi wa habari alioufanya kwa pamoja na Brian Hook, mjumbe maalumu wa serikali ya Marekani katika masuala ya Iran kwamba eti Iran inaingilia masuala ya ndani ya nchi za eneo hili ikiwemo Bahrain.

  • Uchunguzi wabaini biashara ya utumwa wa ngono katika Jeshi la Majini la Marekani

    Uchunguzi wabaini biashara ya utumwa wa ngono katika Jeshi la Majini la Marekani

    Jun 21, 2020 10:38

    Uchunguzi uliofanyika katika Jeshi la Majini la Marekani umebaini kundi moja la wanamaji wa nchi hiyo limeanzisha biashara ya wanawake wanaotumiwa katika masuala ya ngono.

  • Bahrain; hukumu mbili za kifo katika siku moja

    Bahrain; hukumu mbili za kifo katika siku moja

    Jun 17, 2020 02:38

    Mahakama ya juu ya Bahrain tarehe 15 Julai ilitoa hukumu ya kunyongwa vijana wawili wa nchi hiyo kwa kutegemea ushahidi bandia

  • Bahrain yashinikizwa iwaachilie huru wafungwa wa kisiasa wanawake

    Bahrain yashinikizwa iwaachilie huru wafungwa wa kisiasa wanawake

    Mar 09, 2020 11:28

    Jumuiya ya ‘Amani Kwa Ajili ya Demokrasia na Haki za Binadamu’ imewataka viongozi wa Bahrain kutambua haki za wanawake na hivyo kuwaachilia huru wafungwa wote wa kisiasa wanawake ambao wanashikiliwa kwa kosa kueleza mitazamo yao ya kisiasa au kuwa ni wanaharakati wa haki za binadamu.

  • Kuanza tena uhusiano wa posta kati ya Misri, Saudi Arabia, Bahrain na Qatar

    Kuanza tena uhusiano wa posta kati ya Misri, Saudi Arabia, Bahrain na Qatar

    Feb 25, 2020 13:27

    Katika hatua yao mpya Misri, Saudi Arabia na Bahrain zimeamua kuanza tena kutoa huduma za posta kwa Qatar.

  • Kesi za kwanza za Corona zaripotiwa Iraq, Kuwait, Bahrain na Afghanistan

    Kesi za kwanza za Corona zaripotiwa Iraq, Kuwait, Bahrain na Afghanistan

    Feb 25, 2020 01:22

    Iraq, Kuwait, Bahrain na Afghanistan zimeripoti kesi za kwanza za ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona katika nchi hizo za eneo la Asia Magharibi.

  • Sheikh Abdul-Amir Qabalan: Mkutano wa Bahrain ni khiana kwa Palestina

    Sheikh Abdul-Amir Qabalan: Mkutano wa Bahrain ni khiana kwa Palestina

    Dec 12, 2019 12:08

    Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon ameulaani mkutano wa Bahrain na juhudi za kutaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel na kusema hatua yoyote ya kutaka kuanzisha uhusiano na Israel ni khiana kwa historia ya Uislamu na ardhi za Palestina.

  • Bahrain yamkosoa Amir wa Qatar kwa kutohudhuria kikao cha Riyadh

    Bahrain yamkosoa Amir wa Qatar kwa kutohudhuria kikao cha Riyadh

    Dec 11, 2019 12:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain ameitaja hatua ya Amir wa Qatar ya kutoshiriki kikao cha wakuu wa nchi wanachama wa Baraza la ushirikiano la Ghuba ya Uajemi huko Riyadh Saudi Arabia kuwa ni ishara ya kutokuwa na azma Doha ya kuhitimisha mgogoro baina yake na nchi nne za Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS