Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bashar al Assad

  • Radiamali ya Rais wa Syria juu ya uvamizi wa Marekani na Uturuki dhidi ya ardhi ya nchi yake

    Radiamali ya Rais wa Syria juu ya uvamizi wa Marekani na Uturuki dhidi ya ardhi ya nchi yake

    Mar 12, 2017 07:03

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, majeshi ya kigeni hususan ya Marekani na Uturuki, yaliyoingia ndani ya ardhi ya nchi hiyo bila idhini ya serikali ya Damascus, yanahesabika kuwa wavamizi.

  • Assad: Wanajeshi wa Marekani, Uturuki wamevamia Syria

    Assad: Wanajeshi wa Marekani, Uturuki wamevamia Syria

    Mar 12, 2017 03:00

    Rais Bashar Assad wa Syria amesema wanajeshi wote wa kigeni waliongia nchini humo bila idhini ya seirikali ya Damascus ni wavamizi.

  • Assad: Ufaransa inabeba dhima ya mauaji ya raia nchini Syria

    Assad: Ufaransa inabeba dhima ya mauaji ya raia nchini Syria

    Feb 18, 2017 02:39

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema hatua ya Ufaransa ya kuyaunga mkono magenge ya kigaidi yanayoendesha harakati dhidi ya vikosi vya serikali ya Damascus na wananchi imechangia moja kwa moja mauaji ya raia katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Assad: Marekani kudai inapambana na Daesh huko Syria ni njozi

    Assad: Marekani kudai inapambana na Daesh huko Syria ni njozi

    Feb 07, 2017 14:55

    Rais Bashar al-Assad wa Syria ameutaja muungano wa kijeshi wa Marekani unaodai kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS nchini Syria kuwa ni muungano wa kinjozi na wa kuihadaa dunia.

  • Uingereza yabadili siasa zake kuhusu Syria na Rais Bashar Assad

    Uingereza yabadili siasa zake kuhusu Syria na Rais Bashar Assad

    Jan 27, 2017 03:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amekiri katika Kamati ya Masuala ya Kigeni ya Bunge la nchi hiyo kwamba London imebadili siasa zake kuhusiana na Syria.

  • Rais Bashar al-Assad: Iran ni muungaji mkono mkuu wa taifa la Syria

    Rais Bashar al-Assad: Iran ni muungaji mkono mkuu wa taifa la Syria

    Jan 26, 2017 13:35

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, Iran imekuwa muungaji mkono mkuu wa taifa la Syria katika kipindi chote cha mgogoro wa nchi hiyo uliodumu kwa miaka sita sasa.

  • Shakhsia wa kisiasa wa Tunisia kuelekea Syria kwenda kumwomba radhi Rais Assad

    Shakhsia wa kisiasa wa Tunisia kuelekea Syria kwenda kumwomba radhi Rais Assad

    Dec 26, 2016 16:17

    Ujumbe wa viongozi wa vyama vya siasa vya Tunisia unatazamiwa kuelekea nchini Syria kwa madhumuni ya kwenda kumwomba radhi Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo.

  • Bashar Assad asisitiza kushindwa njama za  Magharibi huko Syria na katika eneo

    Bashar Assad asisitiza kushindwa njama za Magharibi huko Syria na katika eneo

    Dec 08, 2016 11:17

    Akizungumza katika mahojiano na gazeti la Al Watan, Rais wa Syria amesema kuwa Halab au kwa jina jingine Aleppo ndilo tumaini la mwisho la magaidi nchini humo baada ya kushindwa kwao huko Damascus na Homs na kwamba kukombolewa kikamilifu mji huo kutabadili mwenendo wa vita huko Syria.

  • Rais Assad atilia mkazo umuhimu wa uungaji mkono wa Russia kwa Syria

    Rais Assad atilia mkazo umuhimu wa uungaji mkono wa Russia kwa Syria

    Nov 22, 2016 16:34

    Rais Bashar al-Assad wa Syria ametilia mkazo uungaji mkono wa Russia kwa nchi yake katika nyanja tofauti hususan ya kiuchumi kwa ajili ya kupunguza machungu na mateso yanayowakabili wananchi wa Syria.

  • Rais Assad: Sina imani na Trump lakini akiwa na nia ya kweli ya kupambana na ugaidi, Syria itashirikiana naye

    Rais Assad: Sina imani na Trump lakini akiwa na nia ya kweli ya kupambana na ugaidi, Syria itashirikiana naye

    Nov 17, 2016 04:43

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, ikiwa Donald Trump, rais mteule wa Marekani atapambana kwa dhati na magaidi, basi serikali yake itashirikiana naye.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS