-
Rais wa Syria asifu na kupongeza sera na misimamo ya Oman kuhusiana na nchi yake
Feb 01, 2022 07:44Rais Bashar al Assad wa Syria ameipongeza Oman kutokana na nafasi yake kuu na yenye mlingano kuhusiana na nchi yake.
-
Safari za kidiplomasia nchini Syria; kushindwa siasa za kuitenga
Nov 20, 2021 04:45Kufanyika safari za kidiplomasia nchini Syria ni dalili ya wazi kwamba siasa za wapinzani za kujaribu kuitenga serikali ya Damascus zimegonga mwamba.
-
Kushindwa Marekani kuzuia kuanzishwa tena uhusiano wa nchi za Kiarabu na Syria
Oct 16, 2021 07:23Akizungumza Jumatano mbele ya waandishi habari mjini Washington, Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema nchi hiyo haina nia ya kuunga mkono juhudi za kuboreshwa uhusiano na serikali ya Syria.
-
Rais Assad wa Syria aalikwa kuhudhuria kikao cha Baghdad cha viongozi wa nchi za eneo
Aug 16, 2021 12:34Duru za habari zimeripoti kuwa serikali ya Iraq imemwalika rais wa Syria kushiriki katika kikao cha viongozi wa nchi jirani na Iraq kitakachofanyika mjini Baghdad.
-
Bashar al Assad: Tunafanya jitihada ili wakimbizi wa Syria warejee nchini
Jul 27, 2021 07:22Rais wa Syria amesisitiza kuwa Damascus inafanya jitihada kuandaa mazingita ya kurejea wakimbizi nchini.
-
Bashar al Assad aapishwa rasmi kuwa Rais wa Syria
Jul 17, 2021 12:27Bashar al Assad leo amekula kiapo rasmi cha kuwa Rais wa nchi hiyo kwa kipindi kingine cha miaka miaka 7 mingine.
-
Mahmoud Abbas ampongeza Rais Bashar al Assad kwa kuchaguliwa tena kuwa rais wa Syria
May 30, 2021 02:45Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amemtumia ujumbe wa maandishi Rais Bashar al Assad na kumpongeza kwa kuchaguliwa tena kuwa rais wa Syria.
-
Bashar al-Assad kuwania tena urais Syria katika uchaguzi wa mwezi ujao
Apr 21, 2021 11:38Rais Bashar al-Assad wa Syria leo amekabidhi fomu za kugombea kiti cha urais katika uchaguzi uliopangwa kufanyika tarehe 26 ya mwezi ujao wa Mei.
-
Viongozi wa UAE wamtumia salamu za pongezi Rais Assad kwa mnasaba wa siku ya uhuru wa Syria
Apr 18, 2021 06:28Kiongozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), naibu wake na mrithi wa ufalme wa Abu Dhabi, wamemtumia, kwa nyakati tofauti, Rais Bashar al Assad wa Syria salamu za pongezi kwa mnasaba wa kuadhimisha siku ya uhuru na kufikia tamati kukaliwa kwa mabavu nchi hiyo na Wakoloni Wafaransa.
-
Ripoti: Trump alikuwa na mpango wa kufanya mauaji ya kigaidi dhidi ya Bashar Assad
Feb 15, 2021 10:55Naibu mshauri wa zamani wa Usalama wa Taifa wa Marekani amefichua kuwa, rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump alikuwa na mpango wa kufanya mauaji ya kigaidi dhidi ya Rais Bashar Assad wa Syria.