Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bashar al Assad

  • Mshauri wa Rais wa Syria: Qassem Suleimani alikuwa kamanda wa nyoyo na mpamabanaji wa njia ya ukombozi

    Mshauri wa Rais wa Syria: Qassem Suleimani alikuwa kamanda wa nyoyo na mpamabanaji wa njia ya ukombozi

    Jan 08, 2021 02:42

    Mshauri maalumu wa Rais Bashar al Assad wa Syria amesema, shahidi Qassem Suleimani alikuwa mpigania uadilifu kwa ajili ya wanadamu na mpambanaji wa njia ya ukombozi.

  • Assad: Marekani na baadhi ya nchi za Magharibi zinawazuia wakimbizi wasirudi Syria

    Assad: Marekani na baadhi ya nchi za Magharibi zinawazuia wakimbizi wasirudi Syria

    Nov 11, 2020 14:46

    Rais Bashar al Assad wa Syria amesema Marekani na baadhi ya nchi za Magharibi zinawazuia wakimbizi wa Syria wasirudi nchini kwao.

  • Assad aikosoa Saudi Arabia kwa kushirikiana na magaidi nchini Syria

    Assad aikosoa Saudi Arabia kwa kushirikiana na magaidi nchini Syria

    Oct 06, 2020 11:18

    Rais Bashar Assad wa Syria amesema kuwa misaada na himaya kubwa ya Saudi Arabia kwa makundi ya kigaidi ndiyo sababu kuu iliyoliwezesha kundi la kigaidi la Daesh kuteka na kukalia kwa mabavu maeneo ya nchi hiyo mwaka 2014.

  • Ukosoaji wa Rais wa Syria kwa sera za Marekani, Uturuki na Utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yake

    Ukosoaji wa Rais wa Syria kwa sera za Marekani, Uturuki na Utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yake

    Aug 14, 2020 02:53

    Rais Bashar al Assad wa Syria amekosoa sera za Marekani, Uturuki na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya nchi yake na kuitaja sheria ya Marekani ya Caesar kuwa ni "Uharamia wa Baharini".

  • Tathmini ya utendaji wa jeshi la Syria katika kupambana na ugaidi kwa mnasaba wa kuadhimisha siku ya kuasisiwa kwake

    Tathmini ya utendaji wa jeshi la Syria katika kupambana na ugaidi kwa mnasaba wa kuadhimisha siku ya kuasisiwa kwake

    Aug 02, 2020 06:36

    Kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 75 wa kuasisiwa jeshi la Syria, Rais Bashar al Assad amelisifu na kulipongeza jeshi hilo kwa mchango wake katika vipindi tofauti vya vita dhidi ya ugaidi na kuendelea kwake kuwalinda watu wa nchi hiyo.

  • Zarif: Kuuawa shahidi Qassem Soleimani hakutabadili uungaji mkono wa Iran kwa muqawama

    Zarif: Kuuawa shahidi Qassem Soleimani hakutabadili uungaji mkono wa Iran kwa muqawama

    Apr 21, 2020 02:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC, hakutabadili mwelekeo wa uungaji mkono wa Iran kwa muqawama na mapambano yake dhidi ya ugaidi katika eneo la magharibi mwa Asia

  • Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran akutana na Rais wa Syria

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran akutana na Rais wa Syria

    Apr 20, 2020 12:04

    Dakta Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ambaye leo amefanya safari ya siku moja nchini Syria amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa nchi hiyo Bashar al-Assad ambapo wawili hao wamejadili masuala mbalimbali ya pande mbili, kieneo na kimataifa.

  • Larijani asisitiza kuendelea uungaji mkono wa Tehran kwa Damascus katika vita dhidi ya magaidi

    Larijani asisitiza kuendelea uungaji mkono wa Tehran kwa Damascus katika vita dhidi ya magaidi

    Feb 17, 2020 07:45

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitiza kuendelea uungaji mkono wa Tehran kwa Damascus katika vita dhidi ya magaidi.

  • Putin atembelea Syria na kukutana Assad, atembelea mitaa ya Damascus

    Putin atembelea Syria na kukutana Assad, atembelea mitaa ya Damascus

    Jan 08, 2020 02:49

    Rais Vladimir Putin wa Russia jana aliwasili Damascus mji mkuu wa Syria na kukutana na Rais wa nchi hiyo, Bashar Assad.

  • Rais Bashar al Assad: Mapambano dhidi ya magaidi ni utangulizi wa mapambano dhidi ya Marekani

    Rais Bashar al Assad: Mapambano dhidi ya magaidi ni utangulizi wa mapambano dhidi ya Marekani

    Dec 16, 2019 12:43

    Rais Bashar al Assad wa Syria amesema kuwa mapambano dhidi ya magaidi ni utangulizi wa makabiliano ya uwepo haramu wa askari wa Marekani nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS