-
Makumi ya wasichana watoweka Yobo baada ya shambulizi la Boko Haram
Feb 21, 2018 11:01Zaidi ya wasichana 90 wa shule wanahofiwa kutoweka baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kushambulia kijiji kimoja cha kaskazini mashariki mwa jimbo la Yobo nchini Nigeria.
-
Jeshi la Nigeria lashindwa kumkamata kinara Boko Haram
Feb 20, 2018 12:06Vikosi vya jeshi la Nigeria vimeshindwa kumkamata kiongozi wa kundi la magaidi wakufurishaji la Boko Haram, Abubakar Shekau katika oparesheni maalumu iliyofanyika hivi karibuni.
-
Nigeria yawaachia huru mamia ya washukiwa wa Boko Haram
Feb 18, 2018 23:35Serikali ya Nigeria imewaachia huru mamia ya watu waliokuwa wakishukiwa kuwa wananchama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram kwa ukosefu wa ushahidi katika kesi zilizokuwa zikiwaandama.
-
Watu 18 wauawa katika shambulizi la kigaidi Maiduguri
Feb 17, 2018 04:44Magaidi watatu waliokuwa wamejifunga mabomu wameua watu wasiopungua 18 katika mji wa Maiduguri ulioko kaskazini mashariki mwa Nigeria ambao ni makao makuu ya jimbo la Borno lililoathiriwa zaidi na mashambulizi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Kiongozi wa Boko Haram asema amechoka na anatamani kufa
Feb 08, 2018 10:24Katika kile kinachoonekana ni kupoteza matumaini na kuhisi kufikwa na maji shingoni, kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, Abubakar Shekau amesema amechoshwa na misukosuko na anatamani kufa.
-
Video ya kundi la Boko Haram yawaonyesha baadhi ya mabinti waliotekwa nyara na kundi hilo
Jan 15, 2018 11:14Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram lenye makao yake nchini Nigeria leo limedai kutoa mkanda wa video ukiwaonyesha baadhi ya mabinti waliosalia mikononi mwa kundi hilo ambao walitekwa nyara katika mji wa Chibok kaskazini mashariki mwa Nigeria mwaka 2014.
-
Watu kadhaa wauawa katika shambulio jipya la Boko Haram nchini Cameroon
Jan 11, 2018 12:26Duru za kiusalama nchini Cameroon zimetangaza habari ya kutokea shambulizi jipya la genge la kigaidi la Boko Haram kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Nchi 4 za magharibi mwa Afrika zaanza operesheni kali dhidi ya Boko Haram
Jan 10, 2018 12:36Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, kikosi cha majeshi ya nchi nne za magharibi mwa Afrika kimeanza hujuma kali iliyopewa jina la Deep Punch 2 dhidi ya wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Mateka 700 waachiwa huru kutoka mikononi mwa Boko Haram
Jan 03, 2018 04:18Maafisa wa jeshi la Nigeria wametangaza kuwa watu 700 waliokuwa wametakwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mwa nchi hiyo wameachiwa huru.
-
Kiongozi wa Boko Haram aibuka, adai wamehusika katika mashambulizi
Jan 02, 2018 11:30Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, Abubakar Shekau ametoa kanda mpya ya video na kudai kuwa kundi hilo ndilo lililohusika na wimbi la mashambulizi ya bomu katika sherehe za kufunga mwaka, kaskazini mashariki mwa Nigeria.