Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bunge

  • Bunge la Iraq lataka kutimuliwa nchini humo askari wa Marekani

    Bunge la Iraq lataka kutimuliwa nchini humo askari wa Marekani

    Nov 11, 2018 10:02

    Mwanasiasa wa ngazi za juu wa Iraq amesema Bunge la nchi hiyo linatazamiwa kujadili hoja ya kuondoka kikamilifu wanajeshi wa Marekani katika nchi hiyo ya Kiarabu huku Baghdad ikiituhumu Washington kuwa inaingilia masuala yake ya ndani.

  • Wabunge wa Kuwait wapinga nchi yao kuwa na uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Wabunge wa Kuwait wapinga nchi yao kuwa na uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Oct 29, 2018 01:06

    Wawakilishi wa Bunge la Kuwait wamepinga vikali hatua yoyote ya nchi yao ya kutaka kuwa na uhusiano na utawala haramu wa Israel.

  • Ethiopia yapata rais wa kwanza mwanamke

    Ethiopia yapata rais wa kwanza mwanamke

    Oct 25, 2018 10:25

    Bunge la Ethiopia limemuidhinisha mwandiplomasia wa kimataifa, Sahle-Work Zewde kuwa rais wa kwanza mwanamke wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Kuanza kazi bunge la tano la Afrika; matatizo na malengo yaliyopo mbele yake

    Kuanza kazi bunge la tano la Afrika; matatizo na malengo yaliyopo mbele yake

    Oct 24, 2018 08:48

    Kikao cha kwanza cha kawaida cha bunge la tano la Umoja wa Afrika (AU) kimeanza katika mji mkuu wa Rwanda, Kigali, lengo likiwa ni kufanya marekebisho ya miundo ya kiutawala na kidemokrasia na vilevile kurahisisha mahusiano ya kibiashara baina ya nchi za bara hilo.

  • Rais Shein afungua maonyesho ya utalii Zanzibar ya mwaka 2018

    Rais Shein afungua maonyesho ya utalii Zanzibar ya mwaka 2018

    Oct 17, 2018 11:44

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa, maonyesho ya utalii yanayofanyika Zanzibar ni muhimu kwa Serikali na wananchi kwa kuwa yamelenga kuitangaza Zanzibar na sekta ya utalii ambayo ndio mhimili mkuu wa uchumi wa visiwa hivyo vya Bahari ya Hindi.

  • Korea mbili zakubaliana kufanya kikao cha kwanza cha bunge la pamoja

    Korea mbili zakubaliana kufanya kikao cha kwanza cha bunge la pamoja

    Sep 28, 2018 00:46

    Serikali za Korea Kusini na Korea Kaskazini zimekubaliana kufanya kikao cha kwanza cha bunge la pamoja mwaka huu.

  • Sheria ya kura ya maoni kuhusu katiba ya Libya yapasishwa

    Sheria ya kura ya maoni kuhusu katiba ya Libya yapasishwa

    Sep 14, 2018 10:57

    Bunge la Libya lenye makao yake mashariki mwa nchi limefanya kikao cha dharura na kupasisha suala la kufanyika kura ya maoni kuhusu katiba ya nchi hiyo.

  • Kuulizwa Rais wa Iran maswali bungeni ni kielelezo cha demokrasia katika mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu

    Kuulizwa Rais wa Iran maswali bungeni ni kielelezo cha demokrasia katika mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu

    Aug 29, 2018 03:10

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, jana Jumanne alifika katika Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, kujibu maswali ya wabunge. Kwa mujibu wa kipingee cha 88 cha Katiba ya Iran; kumuuliza maswali rais wa nchi ni moja ya majukumu ya wabunge.

  • Kinyang'anyiro cha ubunge chaingia kasi nchini Rwanda

    Kinyang'anyiro cha ubunge chaingia kasi nchini Rwanda

    Aug 16, 2018 03:36

    Nchini Rwanda, kampeni za ubunge za kuwania viti vya uwakilishi bungeni katika uchaguzi wa uliopangwa kufanyika mwezi ujao wa Septemba zinaendelea.

  • Bunge la Israel lapasisha sheria ya ubaguzi, Wabunge Waarabu wahamaki

    Bunge la Israel lapasisha sheria ya ubaguzi, Wabunge Waarabu wahamaki

    Jul 19, 2018 11:12

    Bunge la utawala haramu wa Israel (Knesset) limeupasisha muswada wa sheria inayotaka kutambuliwa Israel kama 'dola la Mayahudi pekee' licha ya upinzani mkali na malalamiko kutoka kila pembe ya dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS